Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Huko Tunduru nimeona jamaa wa Takukuru amemuua mpenzi wake kwa bastola aina ya Blowing.
Maafisa wa Takukuru wanamiliki silaha za moto kikazi au personal? Kwanini wamilikishwe chuma?
Wajuvi karibuni.
Maafisa wa Takukuru wanamiliki silaha za moto kikazi au personal? Kwanini wamilikishwe chuma?
Wajuvi karibuni.