laii
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 853
- 1,120
Kadogoo yupi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh, kumbe, pole sana, he was my hero kwa kumshughulikia jambazi sugu Kadogoo pale Moshi, Nakumbuka baba yake Kadogoo alimzawadia Sh. 60,000/= kwa kumuua mwanae tishio, enzi hizo ilikuwa fedha nyingi sana. Nasikia pia ni Kaka wa Rose Kamili mbunge wa CDM.
Sikujua maskini, RIP Joakimu
Sent using Jamii Forums mobile app