Maadui watatu wa mwanaume hapa duniani

Maadui watatu wa mwanaume hapa duniani

elia stephen

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
263
Reaction score
82
Katika maisha ya kawaida hapa duniani kila mtu ana maadui zake... Kwa upande wangu maadui zangu mimi mwanaume ni MALI ZANGU, MKE WANGU NA WATOTO. Vitu hivi vitatu kama visipokuwa makini mwanaume unaweza jikuta katika mateso makubwa sana katika familia.
 
Katika maisha ya kawaida hapa duniani kila mtu ana maadui zake... Kwa upande wangu maadui zangu mimi mwanaume ni MALI ZANGU, MKE WANGU NA WATOTO. Vitu hivi vitatu kama visipokuwa makini mwanaume unaweza jikuta katika mateso makubwa sana katika familia.

Vipi kuhusu ndugu?,hawawezi kuwa maadui kweli???.
 
Hata katika dini ya kiislam inasema fitna kubwa ni mali wake zetu na watoto wetu mkuu upo sahihi sana
 
Aisee. Katika vita yoyote, hatua ya kwanza ya ushindi ni kujua adui ni nani. Maana huwezi pambana tu halafu adui humjui. Na ukisha mjua njia nzuri ni kumaliza kuanzia kwenye mizizi yake. Nakushauri kama hivyo ni adui kwako.....USIOE USIZAE USITAFUTE MALI ISHI KAMA NDEGE.
 
Tutatafuta namna ya kuupinga lakini huo ndo ukweli.
 
Mimi Maadui zangu wakuu ninao wahofia ni,umasikini(napambana kuushinda maana utajiri ni chanzo cha mafanikio yote hapa duniani)

atakaye chepuka nae "my wife wangu"(nikimbaini nitamwachia aendelee kuchepuka nae,maana nikimkabili nitamuua,sitaki murder case),

na adui yangu wa mwisho ni uvivu (kwa kiasi fulani nimefaulu kuushinda).
 
Mimi Maadui zangu wakuu ninao wahofia ni,umasikini(napambana kuushinda maana utajiri ni chanzo cha mafanikio yote hapa duniani)

atakaye chepuka nae "my wife wangu"(nikimbaini nitamwachia aendelee kuchepuka nae,maana nikimkabili nitamuua,sitaki murder case),

na adui yangu wa mwisho ni uvivu (kwa kiasi fulani nimefaulu kuushinda).

Hauna mapenzi ya kweli kwa mke wako au bado haujaowa.
 
Mimi ni CCM, wanawake na pombe. Kama huyu wa kwanza nitampa sumu kama panya siku moja
 
Katika maisha ya kawaida hapa duniani kila mtu ana maadui zake... Kwa upande wangu maadui zangu mimi mwanaume ni MALI ZANGU, MKE WANGU NA WATOTO. Vitu hivi vitatu kama visipokuwa makini mwanaume unaweza jikuta katika mateso makubwa sana katika familia.

You are the enemy of yourself. The evil self inside you is your enemy.
 
Katika maisha ya kawaida hapa duniani kila mtu ana maadui zake... Kwa upande wangu maadui zangu mimi mwanaume ni MALI ZANGU, MKE WANGU NA WATOTO. Vitu hivi vitatu kama visipokuwa makini mwanaume unaweza jikuta katika mateso makubwa sana katika familia.

Hapana mkuu, binafsi siungi mkono hoja, adui wa maisha yako ni mawazo hasi kama hayo uliyokuwa nayo, ni vema ulibadili mawazo na mtizamo wako juu ya hilo maana itakupelekea uyachukie maisha kwa ujumla
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom