Kizoku
Senior Member
- Apr 30, 2014
- 186
- 66
Katika dunia ya leo, ili uishi maisha ya amani inabidi upambane na maadui watatu.
1. Nyumba ya kupanga. Huyu ndio adui namba moja. Bora hata uishi kwenye dungu la tope la kwako mwenyewe kuliko kero za kuishi nyumba ya kupanga.
2. Kutumia usafiri wa umma. Hii ya kila siku kunukishana vikwapa kwenye daladala na kero nyingine za vyombo vya usafiri wa umma ni adui namba mbili.
3. Kuajiriwa. Baada ya kero za mwenye nyumba, kero ya usafiri wa umma mwishowe ni hii kero yakuajiriwa. Hasa unapokuta IQ yako kubwa halafu wanaokuongoza wana IQ ndogo. Ndio shida inapoongezeka.
Siku zote tupambane kuwatokomeza maadui hawa watatu.
1. Nyumba ya kupanga. Huyu ndio adui namba moja. Bora hata uishi kwenye dungu la tope la kwako mwenyewe kuliko kero za kuishi nyumba ya kupanga.
2. Kutumia usafiri wa umma. Hii ya kila siku kunukishana vikwapa kwenye daladala na kero nyingine za vyombo vya usafiri wa umma ni adui namba mbili.
3. Kuajiriwa. Baada ya kero za mwenye nyumba, kero ya usafiri wa umma mwishowe ni hii kero yakuajiriwa. Hasa unapokuta IQ yako kubwa halafu wanaokuongoza wana IQ ndogo. Ndio shida inapoongezeka.
Siku zote tupambane kuwatokomeza maadui hawa watatu.