Hawa vijana wanaokata mauno hapo uwanjani wamekosa kazi ya kufanya? Wanaonekana wana njaa sana. Siasa bana!
Hawa vijana wanaokata mauno hapo uwanjani wamekosa kazi ya kufanya? Wanaonekana wana njaa sana. Siasa bana!
Hawa vijana wanaokata mauno hapo uwanjani wamekosa kazi ya kufanya? Wanaonekana wana njaa sana. Siasa bana!
Kwao ndio kazi wanayoona inawafaa. Kama kina fulani wanaojipinda humu kutuambia tuya-appreciate maendeleo yaliyoletwa na magamba wakati halisi inajulikana na kila mtu (including magamba wenyewe)!