MuganyiziMushiMwaipopo
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 359
- 691
Naomba kujua faida za kutoboa toboa mwili kwa kuuchanja chale mwilini hii ni baada ya kutembea Mikoa hasa ya Kigoma, Shinyanga, Rukwa pamoja na Tabora.
Kwa utafiti wangu wa muda mfupi kwenye mikoa hii unakutana na watu wengi hasa wazawa wana chale mwilini.
Unakuta mtoto mdogo ana chale usoni, mgongoni, Kifuani hadi miguuni kila niliyejaribu kumuuliza faida zake wengi hawajui wengine wanadai walikuta washachanjwa toka wakiwa wadogo, Wengine wanasema ni kinga na wengine wanadai ni urithi wa kikabila dah!!!
Wana JF wanaojua haya mambo naombeni ushauri wenu na faida za kuwa na chale mwilini maana imefika hatua ya kuogopa watu wenye chale mwilini nikihisi ni Wachawi.
Nawasilisha...
Kwa utafiti wangu wa muda mfupi kwenye mikoa hii unakutana na watu wengi hasa wazawa wana chale mwilini.
Unakuta mtoto mdogo ana chale usoni, mgongoni, Kifuani hadi miguuni kila niliyejaribu kumuuliza faida zake wengi hawajui wengine wanadai walikuta washachanjwa toka wakiwa wadogo, Wengine wanasema ni kinga na wengine wanadai ni urithi wa kikabila dah!!!
Wana JF wanaojua haya mambo naombeni ushauri wenu na faida za kuwa na chale mwilini maana imefika hatua ya kuogopa watu wenye chale mwilini nikihisi ni Wachawi.
Nawasilisha...