Koba, elewa kwamba waandishi wa nyumbani ni waoga kuonekena kimbelembele na hasa wataonekana hawana "nidhamu au heshima". Waandishi wetu bado hawajafikia mahali pa kumkatisha mtu anapoanza kuzungumza na kuingilia mtiririko wa mazungumzo yake na kumuuliza maswali ya kina. Binafsi, nilitarajia waandishi wangefanya unavyosema lakini ingekuwa pale anapomaliza tu na kufungua ukumbi wa maswali basi wanaanza kumuuliza na tena wangemuuliza on specifics. Ila well, ndio uandishi wa bongo.