kuna watu hapa jf wanamajina makubwa kwa umaarufu wao hapa jf hasa ktk michamgo yao.mimi hawa watu ningependa kuwaita masuper star wa jf! Kwangu mm wapo wengi kama The boss, klorokwin, nyani ngabu,asha d,husninyo,afrodanz na wengine wengi.... Endelea na wewe....
Celebrity number one is Faiza Foxy
(chanzo Faiza Foxy mwenywe)
kuna watu hapa jf wanamajina makubwa kwa umaarufu wao hapa jf hasa ktk michamgo yao.mimi hawa watu ningependa kuwaita masuper star wa jf! Kwangu mm wapo wengi kama The boss, klorokwin, nyani ngabu,asha d,husninyo,afrodanzi na wengine wengi.... Endelea na wewe....
ohhhh
men thank you thank you far to kind ... 🙂
I love Friday nights is awesome ..
Amesema AfroDanzi....soooooo those 15min of fame aren't yours..give 'em back!!
Mtoa mada hajaongelea ma-celebrity
Mie ndo nimeamua kuongelea ma-celebrity ........kuna tatizo?
I will go hunt down this Afrodanzi then....
So you can claim her prize...??
Tatizo lipo kwasababu umechangia usichokijua.