M7 Akubaliana na Cameron

Mnwele

Senior Member
Feb 4, 2010
162
100
Wakati Tanzania tukisimama kidete kupinga swala la Ushoga, jiran yetu wa karibu Uganda wanapigia chapua kinachosemekana HAKI za mashoga.
Akipingana na swahiba wake bwana Kikwete, rais Museveni leo hii akiwa mbele ya Ikulu ya Uganda akiongea na waandishi wa habari amesema waziwazi kwamba Uganda haijawahi hata siku moja kufinyanga haki za mashoga na kwamba wataendelea kuwapa nafasi za uwepo wao katika jamii.
Rais Museven alipigwa swali hili na kuombwa kuelezea kauli ya ndugu Cameron.
My Take: Uganda ni jirani yetu, tumsikitikie ama tumpongeze?
 
sie wenyewe tunakubakiana na cameroon hayo ya membe ni mipasho tu hana lolote..huyu si ndo alikuwa anapinha gadafi sijui nini kiko wapi..gadafi kaishwa kushindiliwa vijiti matakoni...
 
Awali rais museven alishapinga na kuwakamata wale mashoga wa Uganda walipoandamana kudai haki zao, Obama akamkoromea akawaachia. Leo hii unategemea atarudia tena kupinga?, amewaogopa sana wale waliotoa kauli hiyo.
 
Ishu ya Uganda kuwakoromea mashoga ilipingwa vikali sana na serikali ya Norway mwezi august-september 2011, magazeti yao (likiwemo gazeti kuu la kampuni aftenposten) yalilaani sana na timu ilitumwa haraka. Kilichofwatia ni Uganda kumwagiwa hela baada ya tukio la kumvamia shoga na kumjeruhi vibaya sana. Toka serikali ya Norway iingilie na kumwaga kroner mseven hakuwa na sauti tena alipoa kama maji.
 
Tusiwe wanafiki. Ni lini serikali ya Tanzania iliwahi kuupinga ushoga kwa vitendo? Au kwa kuwa Cameroon amezungumzia misaada? Ni lini wale wa Magomeni wamewahi kukemewa na serikali? Au Magomeni ipo Uingereza? Acheni unafiki, Tanzania inaruhusu ushoga tangu zamani, pengine hata kabla ya Uingereza
 
Mbona Uganda kuna law ya death penalty dhidi ya mashoga? Sasa anawezaje kusema kua mashoga wanapewe nafasi katika jamii??? Let your NO be No na your Yes be YES, utaheshimika zaidi. Hapa inaonekana wazi ni mambo ya fedha.
 
Wakati Tanzania tukisimama kidete kupinga swala la Ushoga, jiran yetu wa karibu Uganda wanapigia chapua kinachosemekana HAKI za mashoga.
Akipingana na swahiba wake bwana Kikwete, rais Museveni leo hii akiwa mbele ya Ikulu ya Uganda akiongea na waandishi wa habari amesema waziwazi kwamba Uganda haijawahi hata siku moja kufinyanga haki za mashoga na kwamba wataendelea kuwapa nafasi za uwepo wao katika jamii.
Rais Museven alipigwa swali hili na kuombwa kuelezea kauli ya ndugu Cameron.
My Take: Uganda ni jirani yetu, tumsikitikie ama tumpongeze?

huu ndiyo uthubutu,achana na magamba ya kobe kazi wawape kujikanyaga si barid wala moto yani wapo ktkt.
 
Back
Top Bottom