Hahahahahaaaa! Nimeipenda hii toka kwenye wall ya Katibu Mwenezi wa CCM, Nape Nnauye.
Sidhani kama uumwi
Nilivyoelewa ccm ndo M4Death
Hivi hii nayo ni thread?
Tukipewa uhuru ni vizuri kuutumia vizuri.
hapana utayaona ya NapeAma kweli ukishangaa ya musa utayaona ya firauni