Tunazidi kuwaombea !Waendelee kuelimisha wasiokuwa na elimu na wale waliojazwa uongo na CCM.....hakika mpaka kufikia 2015 kazi itakuwa rahisi sana ! Tuko pamoja makamanda pigeni kazi !
Safi sana Ole Millya mbomoe huyo mropokaji Sendeka hadi abaki na familia yake tuu kwani jimbo hilo ni lako 2015. Chadema kazi ya kuwabomoa magamba iendelea sisi tunawabadilisha kichwa kwa kichwa hana sumu iliyopandikizwa na magamba iondoke kwa watanzania kuwa na utambuzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.