Kama wewe ulivyozoeaAnahongeka kirahisi sana huyu
Kama wewe ulivyozoeaAnahongeka kirahisi sana huyu
Jaribu kupanua ufahamu wako hivi ADC ni chama cha siasa au ni makanjanja tu.Kumbukeni ADC iko nyuma yenu inanyata tartiiiiiiibu.
Jaribu kupanua ufahamu wako hivi ADC ni chama cha siasa au ni makanjanja tu.
M4C itaonekana ina nguvu iwapo itaweza kubomoa maeneo yafuatayo: Rufiji, Mafia, Kilwa, Masasi, Ruangwa, Liwale, Mtwara, Newala, Kibiti, Kilolo, Mufindi, Kyela, Kilindi, Pangani, MTERA, MVOMERO, TEMEKE, Pemba, Bagamoyo, Chalinze, Same, Mwanga
kibosho komu hapawezi kuna jembe moja liko mzumbe pale MR.MUSHI anafaa dogo anaeza
Tuwekee CV yake mkuu ili tumpitishe.
M4C itaonekana ina nguvu iwapo itaweza kubomoa maeneo yafuatayo: Rufiji, Mafia, Kilwa, Masasi, Ruangwa, Liwale, Mtwara, Newala, Kibiti, Kilolo, Mufindi, Kyela, Kilindi, Pangani, MTERA, MVOMERO, TEMEKE, Pemba, Bagamoyo, Chalinze, Same, Mwanga