leo hii katika mkutano wa hadhara wa m4c pamoja daima uliofanyika jioni hii mjini musoma, dr slaa ameongelea mambo mengi kwa mustakabali wa taifa letu, na kama tutayatekeleza kama taifa tutakuwa na muelekeo wa maisha bora kwa kila mtanzania na kuweka taifa letu katika dira ya maendeleo ya ki-dunia kama nchi za wenzetu za malaysia, singapore, thailand na hata uchina walivyoweza. Kwa mpango wa sasa wa miaka 50 wa umoja wetu wa afrika (au) kuhusu mustakabali wa bara letu la afrika, dr slaa na chadema kwa sasa ndiyo wanaoona muelekeo huo. Ccm vizuri wapewe dozi, na dozi hii ni mageuzi 2015.