MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,976
Yeye anachotaka ni uwiano katika malipo na akidokeza kuwa kuwa, kama katibu mkuu wa chama analipwa zaidi ya milioni saba kwa mwezi, kwa nini basi usiwepo utaratibu wa kuwalipa hata kidogo watumishi wa chini wa chama.
Yeye mwenyewe shahidi akaunti hazina ki2, asa mishahara itatoka wapi?