M4c na chopa 4 huku makatibu na wenyeviti wa wilaya na mikoa njaa kali

uliwahi sikia wapi wana cdm wana gombana kwa ajili ya chai ...ccm bila kitu kofia chupi shati ni ngumi tu......morogorooooooo
 
Mkuu akaunti za cdm ziko tupu, we ni mhazini cdm? Pili ukombozi wa taifa letu hauhitaji kulipana posho, unahitajika uzalendo wa dhati kwa taifa letu. Cdm inahitaji kusaidiwa zaidi!
 
Wadau hebu tuwe na akili timamu hivi ni lini tumewahi kupewa mahesabu ya mapato na matumizi ya chama? tusikurupuke kumshutumu tu mtoa mada kwani kuna jambo analijua, sisi tunataka watu wenye kua wa kweli lakin kwa namna hii napata picha kua siasa ni unafiki kwani nimejaribu kujiuliza kua ni pesa kiasi gani tunakusanya kwenye mikutano yetu?,tunazitumia kufanyia nini? ukweli ni kwamba hata pale arusha ipo ofisi inamilikiwa na mtu mmoja tu pale na anafanya anavyojisikia kwakua alikua anataka wadhifa fulani kwahio tunaposema kua wakat mwngne tunapoambiwa tuna kundi la watafuta vyeo ni kweli kama tukiwa hivi bila kupima dhamira ya watu wetu tutajikuta tuna viongozi wasio na uwezo mwisho wa siku hatutakua na heshima yyte mbele ya jamii. Bila shaka inatubidi tuwe watu wasiolevywa na viongozi bado tuna safari ndefu kufika tuendako hizi kasoro zetu ni kuzidhibiti muda huu tukisubiri sana tutakuja kukosa pa kuanzia.Muda ni huu viongozi wetu wajitofautishe ili tujue ukweli. si kila mwana cdm ni mdadisi basi wale wadadisi wakisaidie chama.
 
Hapa ndipo nachoka, hoja inaweza kuwa nzuri na kueleweka iwapo itatolewa na mtoaji kuwa tayari kuitetea. Huu utaratibu wa kumwaga vitu hapa harafu muhusika anaingia mitini huku janvi likitiririka ndo napata shida kwa hawa ma-greta thinkas.

Wengine huwa hatutumii matusi mara tuonapo bandiko tu ila huwa tunasubiri mtoa hoja afafanue zaidi hasa pale hoja zingine chokozi zinapoibuka ili tuone kama kuna mantiki. Inawezekana akawa sahihi kwa kutushawishi wale ambao hupenda kuangalia pande mbili na kutoa comments zetu.

Mtoa hoja anaonekana ni MwanaCDM kwani mpaka kujua akaunti hazina kitu na helikopta 4 kutumika, ni lazima atakuwa karibu na source ya taarifa. Ebu arudi kutufafanulia zaidi baadhi ya mambo ili tuone kama ana mantiki au ni zengwe.


Angetuambia amejuaje kwamba akaunti ziko tupu. Siri za akaunti ya Chama zinawekwa kwa kila mtu tangu lini? Mleta anaweza pia kuwa anatumiwa au anajituma kuichafua Chadema.

 
Wadau hebu tuwe na akili timamu hivi ni lini tumewahi kupewa mahesabu ya mapato na matumizi ya chama? tusikurupuke kumshutumu tu mtoa mada kwani kuna jambo analijua, sisi tunataka watu wenye kua wa kweli lakin kwa namna hii napata picha kua siasa ni unafiki kwani nimejaribu kujiuliza kua ni pesa kiasi gani tunakusanya kwenye mikutano yetu?,tunazitumia kufanyia nini? ukweli ni kwamba hata pale arusha ipo ofisi inamilikiwa na mtu mmoja tu pale na anafanya anavyojisikia kwakua alikua anataka wadhifa fulani kwahio tunaposema kua wakat mwngne tunapoambiwa tuna kundi la watafuta vyeo ni kweli kama tukiwa hivi bila kupima dhamira ya watu wetu tutajikuta tuna viongozi wasio na uwezo mwisho wa siku hatutakua na heshima yyte mbele ya jamii. Bila shaka inatubidi tuwe watu wasiolevywa na viongozi bado tuna safari ndefu kufika tuendako hizi kasoro zetu ni kuzidhibiti muda huu tukisubiri sana tutakuja kukosa pa kuanzia.Muda ni huu viongozi wetu wajitofautishe ili tujue ukweli. si kila mwana cdm ni mdadisi basi wale wadadisi wakisaidie chama.

Hapo kwenye Red. Je katiba ya Chadema inasema mapato na matumizi yatawekwa magazetini na JF au yanaletwa kwenye kamati kuu na baraza kuu ambao ndio wenye mamlaka ya kuhoji wanapokuwa na mashaka?
 
Ati walipwe pesa zao je unafahamu ni kiasi gani??acheni kutoa mapovu wakati hamuelewi wako na makubaliano gani.Nafahamu mlizoea kulipana huko kwa Magamba mijihela hata hamuulizi imetoka wapi.Chadema ni chama makini viongozi wake wengi hawategemei ati posho kwa kuwa wanafahamu hizi posho si sahihi kwani kuna mambo mengi ya kufanya especial kujenga chama we dont need the so called posho we're working hard to build our Party and we dont depend on this posho.

Hiki Chama kimeanza miaka 20 iliyopita. Hatukuwa na ruzuku. Ruzuku imeanza kuja kwa kiwango kizuri mwaka 2010 baada ya kupata kura za kutosha. Sasa tungekuwa tunategemea ruzuku tungefikaje 2010?
Kwa mawazo ya mleta uzi Chadema ingekuwa imeshajifia kwa sababu haina posho. Posho ukiweka mbele ndani ya Chadema hutakaa hata mwaka moja. Hii ni kwa sababu hata pesa kidogo zipo kwa uzoefu wangu hatulipani posho.
Binafsi nilikuwa mkiti wa jimbo la Ubungo lakini hatukuwa na posho ya vikao hata nauli mara nyingi tunajitolea. Ruzuku ina kazi za muhimu kuliko posho.
Hili wimbi la watu wanaokuja kwa kasi kutoka ccm na kujiunga na chadema wanakuja na uzoefu ambao unaweza ukatupa tabu kwa Muda lakini naamini mbele ya Safari tutaelewana.
 
Walipeni pesa zao.

Hakuna anayedai pesa zozote zile , isipokuwa huyo aliteandika mada hii !!
Ila, hoja yako hii inanikumbusha wale jamaa wa chama chenu walioleta vurugu mahala fulani kwa sababu ya kunyimwa chai. !!
 
Wadau hebu tuwe na akili timamu hivi ni lini tumewahi kupewa mahesabu ya mapato na matumizi ya chama? tusikurupuke kumshutumu tu mtoa mada kwani kuna jambo analijua, sisi tunataka watu wenye kua wa kweli lakin kwa namna hii napata picha kua siasa ni unafiki kwani nimejaribu kujiuliza kua ni pesa kiasi gani tunakusanya kwenye mikutano yetu?,tunazitumia kufanyia nini? ukweli ni kwamba hata pale arusha ipo ofisi inamilikiwa na mtu mmoja tu pale na anafanya anavyojisikia kwakua alikua anataka wadhifa fulani kwahio tunaposema kua wakat mwngne tunapoambiwa tuna kundi la watafuta vyeo ni kweli kama tukiwa hivi bila kupima dhamira ya watu wetu tutajikuta tuna viongozi wasio na uwezo mwisho wa siku hatutakua na heshima yyte mbele ya jamii. Bila shaka inatubidi tuwe watu wasiolevywa na viongozi bado tuna safari ndefu kufika tuendako hizi kasoro zetu ni kuzidhibiti muda huu tukisubiri sana tutakuja kukosa pa kuanzia.Muda ni huu viongozi wetu wajitofautishe ili tujue ukweli. si kila mwana cdm ni mdadisi basi wale wadadisi wakisaidie chama.

Hapo kwenye red,
Unazungumzia mahesabu ya chama gani !!
Kama ni mahesabu ya chama cha siasa, basi mahesabu yote yako kwa msajili wa vyama vya siasa, ndio maana msajili huyo ndio anayegawa ruzuku kwa vuyama vya siasa.
Wana JF, tusiwe wavivu wa kutafuta taarifa kama hizi, na kuishia kukurupuka tu kuuliza maswali ya kitoto sana.
Ingekuwa mahesabu ya Chadema hayako sawa, basi msajili wa vyama (Mr. Tendwa) ndio angekuwa wa kwanza kuuchukua hatua.
Yaani mtu humu JF anaulizia mahesabu ya vyama vya siasa !! Yaani anamtukana msajili wa vyama vya siasa kuwa hafanyi kazi !!
Kaazi kweli kweli hapa JF !!!!
 
AU WAMEZIPELEKA KUFANYIA REPAIR PALE BILICANASI...!!
AU ZIMEPELEKWA NYUMBA NDOGO KULE KWA DADA JOSEPHINE WA KATIBU MKUU BWANA MASILAHAA...
:peace:
 
Unanjaa alafu unakuja CHADEMA..acha ufala wewe,njoo chadema ukiwa na lengo la kujenga then utajengwa,hatutaki watu warahisi akina katambala na wale madiwani feki wa arusha,unataka uje kula alafu nani atakua amepika??njoo pika alafu tule.
 
halafu ile ruzuku inayotolewa na serikali inaenda kaskazini

ni haki iende angalia mapato......ngoja nikupe sifa ya kaskazini mlima kilimanjaro ,serengeti mlima meru hali ya hewa arusha, marangu ,ma miss, tanzanite ,kiwanja kizuri cha ndege yaani air port kia lami na maji mpaka migombani hata ukitoka nairobi au dar wewe lami tu kwa juhudi za hao hao unafikiri ni wa tz lakini sio wa kaskazini.
moshi mji unaongoza kwa ustaaarabu na usafi.....huwei ona vocha imetupwa au maji machafu ya chooni au mvua ktkati ya mji
leo nilikua naangalia star tv wana ccm dom wana lalamika kimbisa kajirundikia madaraka ..mkuu wa nkoa dom anasema watu wanaenda ccm kwa ajili ya madaraka.....kumbe wanajuwa

 
Chadema hakuna maslahi hapa ni ukombozi wa nchi, kama unataka malipo nenda CCM! Fedha zinazopatikana zinatumika kuendeleza mapambano dhidi ya udhalimu na ufisadi kwa Taifa!
 
Ukweli husemwa:


Hapa mimi ndiyo huwa ninachoka pale wanajanvi wanapoamua kuanza kujibu kwa kejeli na matusi kwa vile Mada imebeba ujumbe hasi kwa chama.

Mwana JF ameuliza swali zuri tu na natumaini hata nia yake vilevile ni njema. Swali lake limejengeka katika hoja ya uwiano. Kama viongozi wa juu wa chama wanalipwa mishahara na posho kwa nini haujafanywa utaratibu wa kuwa na malipo kwa viongozi wa chini.

Ikumbukwe, mleta mada anajaribu kutafuta jibu ili liwanufaishe pia watu wengine wenye swali kama hili.

Tujifunze kuvumiliana na kuelimishana ili kuienzi nguzo kuu ya demokrasia kamili.

Yeye mwenyewe shahidi akaunti hazina ki2, asa mishahara itatoka wapi?
 
Back
Top Bottom