M4C ..Makamanda wameanza zamani!

M4C ..Makamanda wameanza zamani!

Mzizi wa Mbuyu

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2009
Posts
7,462
Reaction score
7,248
m4c jk samora kaunda.jpg m4c jk samora kaunda.jpg 4c
 
Kwa hiyo Chadema wameiga CCM tumekuelewa.Chadema hawana kipya wao kuiga tu
 
kwa hiyo wamekopi na kupesiti.......

Hakuna jambo jipya duniani mzee, Musa alikomboa watu akaja Yesu nae akakomboa watu, kina Nyerere nao wakakomboa watu, CHADEMA inakomboa watu.......upo!
 
Duh! Kumbe dalili hii ilionekana mapema tu? Hakuna kulala mpaka kieleweke!

Hongera Chama cha Demokrasia na Maendeleo!

CCM waliyatupa MAGWANDA Chadema ikayachukua sasa kazi wanayo CCM! Haya ndo mavazi yaliyomtupa mkoloni nje tanganyika na kusini mwa jangwa la sahara!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom