Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,462
- 7,248
Kwa hiyo Chadema wameiga CCM tumekuelewa.Chadema hawana kipya wao kuiga tu
Kwa hiyo Chadema wameiga CCM tumekuelewa.Chadema hawana kipya wao kuiga tu
kwa hiyo wamekopi na kupesiti.......
Hakuna jambo jipya duniani mzee, Musa alikomboa watu akaja Yesu nae akakomboa watu, kina Nyerere nao wakakomboa watu, CHADEMA inakomboa watu.......upo!
Mwalimu alikua chadema
Kwa hiyo Chadema wameiga CCM tumekuelewa.Chadema hawana kipya wao kuiga tu
Kwa hiyo Chadema wameiga CCM tumekuelewa.Chadema hawana kipya wao kuiga tu
kwani tatizo nini
Hakuna jambo jipya duniani mzee, Musa alikomboa watu akaja Yesu nae akakomboa watu, kina Nyerere nao wakakomboa watu, CHADEMA inakomboa watu.......upo!
kwa hiyo wamekopi na kupesiti.......
Duh! Kumbe dalili hii ilionekana mapema tu? Hakuna kulala mpaka kieleweke!
Hongera Chama cha Demokrasia na Maendeleo!