M4C kutua Iringa mjini kesho

M4C kutua Iringa mjini kesho

Akili hazikutoshi. kumbe mpo mnaoamini kuwa Arusha Chadema walitaka kupora silaha? ama kweli ujinga mzigo

Mkuu, hiyo ndio akili ya ccm. Thats why Masaburi was right!
 
Kama polisi wanajifunza kuua sisi tutajifunza kufa!saa ya ukombozi ni sasa!M4C mbele!
 
The more they are oppressed the stronger they become. M4C has a very powerful message to the ruling Party for the 2015 election. You are Blessed.
 
chadema haina vijana ila vijana ndio wenye chadema na hiyo ndio tofauti kati ya ccm na cdm ccm wana vijana lkn vijana hawana ccc ccm ina wenyewe na wenyewe ni wenyewe wenyewe
 
Back
Top Bottom