M4C Kimanga (Picha moja)

MAGAMBA a.k.a WADHAIFU jana waliandika humu JF kuwa raia walio hudhuria walikuwa chini ya arobaini (40)

Achana nao tujenge chama letu CHADEMA, lengo letu kwa kijana ajitahidi angalau kupata wanachama 10.Pia hao ni wageni wa mabadiliko hivi vyama wakati vinaanza vilikuwa haina idadi kama hiyo,kutoka kwenye sifuri hadi 40 hapo chama kinakua.Hata kama hawakuzidi 40 walokuwepo wanatosha, aluta continua mapambano bado yanaelendelea.
 
​jipya utaliona 2015 mtakapoolewa noa ya mkeka
 
Weye kweli giza, lini CHADEMa ilifanya mkutano sehemu hiyo ikapata idadi kama hiyo?

Hivi wewe hunapajua Tabata Kimanga? Kwanza hakuna uwanja mkutano umefanyika barabarani na barabara za Kimanga ni nyembamba sana na watu wamejibana hapo lazima uone watu wengi.
 
Unaweza ukazungungumza na watu 40 nakila mmoja akapeleka habari kwa watu 25 tu tayari ni wengi mno. Idadi si hoja hasa kama wamekuja wenyewe.
 
 
jana kuna wadhaifu walikua wanatoa updates utadhani walikua eneo la tukio, m4c inawanyoa kotekote.....
T2015CDM HIYOOOOOOOO MAGOGONI!
 
Nimeipenda hii habari ya kunenepesha mifupa. Ndo maana naipenda JF. Jamani Dr. SLaa yuko wapi hatumsikii au amepewa likizo kidogo.
 
Hivi wewe hunapajua Tabata Kimanga? Kwanza hakuna uwanja mkutano umefanyika barabarani na barabara za Kimanga ni nyembamba sana na watu wamejibana hapo lazima uone watu wengi.

Nakujua Tabata Kimanga na naishi,mkutano umefanyika kituo cha mabasi na barabara ilifungwa kutokana na uwingi wa watu.Huo ulikuwa mkutano wa kata,mikutano ilofanyika maeneo yale huo ni wa tatu.Zito,Mpendazoe na Lema ila huu wa Lema ulikuwa na watu wengi sana na ambao umevunja rekodi ya mikutano yote ya CHADEMA.Kama bado unakaubishi,nitakugharimia nauli ya kwenda eneo hilo kwa siku yeyote unayoona inafaa.Idadi ya walojiunga ni wengi sana,pole sana indelea na kaubishi ka kimagamba magamba.
 
​unajitekenya na unacheka mwenyewe pole kwa maumivu ya ukweli
 
mheshima mnyika ameyasema yote bungeni bila uwoga kwani hakuna asye jua kuwa serikali ni dhaifu na udhaifu wake umetokana na mheshimiwa rais kulea watu wanaofanya ubadhilifu wa fedha za uma
Kwa udhaifu umeanzia kwake rais ndo maana mnyika alitoa kauli hiyo kwa kujiamini bila kuogopa
 

usihofu nitaziweka mkuu. Hawa magamba nyeupe wao wanaona nyeusi, wala msitumie nguvu nyingi kuwaelewesha. Uwezo wao wa kufikiri umezibwa na gamba.
 
usihofu nitaziweka mkuu. Hawa magamba nyeupe wao wanaona nyeusi, wala msitumie nguvu nyingi kuwaelewesha. Uwezo wao wa kufikiri umezibwa na gamba.

Ipo sawa ila kuwapa dawa kwa kaugonjwa sio mbaya, unajua mwenyeenzi Rabi hamfichi mnafiki na hao gambaz aka nyinyiemu jana kutwa walikuwa wanahangaika na habari za kinafiki.Lakini baadae wameumbuka hata leo ukiwaambia jana Lema kashangiliwa sana na wapenda mabadiliko watagoma.Ila wasiachwe lazima tuendelee kuwapiga makonzi kichwa,kwa staili za mbwa mwitu yaani wakigeuka huku kwenzi kule kwenzi na bado mbaka magamba yote yapukutike.
 
Sahihisho mkuu,huyo diwani niwa kata ya Kimanga mkuu....nashikuru kwa habari tuliwakilisha vyema.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…