Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,420
- 4,032
Mbona husemi tabata gani mkuu nilihudhuria mkutano wa tabata shule watu walikuwa wengi sana yawezekana kwa sababu zako binafsi uliamua kupiga picha mapema sana kabla ya mkutano ili uje hapa jamvini kutupotosha ole wako wewe upotoshaye leo kwan 2015 utalia na kusaga meno
mapema sana? lema si ndo anahutubia hapo mgeni rasmi? labda sema watu wamechoka nae