Ni kweli kabisa hapa dar wajinga ni wengi kwani kila kitu wanacho na taarifa wanazipata kuliko hata mikoani lakini ndo wako nyuma kimageuzi, ingetegemewa dar iwe chanzo cha mageuzi lakini hapafai. Hata ukifuatilia historia ya mageuzi ilianzia pembezoni mwa nchi. Kama tarime, kigoma, arusha, pemba nk. Huko watu ndo wanaelewa kuliko hapa dar ambako wamejaa wasomi lakini waoga. Nawashauri tu wanamageuzi dar sio kwa kutegemea hata kidogo. Kazi yao ni kulalamika kwenye miarobaini na mikorosho tu hawana courage. Jiimarisheni mikoani mtafanikiwa sio dar.