M23, Kinshasa deal collapses

Kwa kusaini huo mkataba technically ndo utakuwa umehalalisha kuendelea kwa vita na kwa kukataa kusaini ndo unakua umefikia objective ya kuleta amani mashariki mwa Congo....iko kinyume.....
 

Complete amnesty would encourage rebellions across the region. Those who committed crimes against humanity should face the ICC!
 
uganda ilazimishwe kurudisha M23 congo ili washitakiwe, na Rwanda vile vile imrudishe Nkundabatware. vinginevyo wapigwe tu.
Mkuu mpaka sasa hivi huwa sielewi mantiki ya kufanya nchi ya Uganda ndio ifanye kazi ya kuwa wasuruhishi kati ya M23 na Serikali ya DRC, kwani Dunia haijui conflict of interest ya Uganda na mgogoro ndani ya DRC, nani alipendekeza Uganda kusimamia usuruhishi huu batiri. Kwa nini Serikali ya Uganda au M7 asishitakiwe kwa kuwa-support wauuaji wakubwa i.e M23, wakitaka kupata ushihidi wa kumburuza mahakama ya the Hague M7, wachunguze Silaha nzito walizo zikuta kwenya mahandaki yaliyo kuwa yanatumiwa na M23 wangalie nameplate ili wajue zilinunuliwa wapi na ni nchi gani ilizinunua - huo ndio utakuwa ushahidi tosha wa kumunganisha M7 kwenye war CRIMES, amekwisha chosha Dunia na uzabazabina wake, Dunia ikae ikijua M7 hana nia thabiti ya kutaka kumaliza mgogoro ndani ya DRC ndio maana anawag'ang'ania wapiganaji wa M23 na kamanda wao anataka kuwatumia kama bargain chip ya kutaka kuendeleza vurugu zake ndani ya Serikali ya Kinshasa, nia yake ni kutaka kuplant mastooge/waasi katika Serikali ya Kinshasa ili Kabila ashindwe kuendesha nchi yake bila ya migogoro hisiyo ya lazima - Kabila anapashwa kuwa makini na mbinu za M7 na M23, M7 hawezi kuwa amewapokea na kuwahifadhi waasi hao wa M23 nchni Uganda bila ya sababu ya msingi. M7 ndie anawapa kiburi M23 kwa kuwashauri walete madai yasiyo na kichwa wala miguu huku akijua wazi wazi kwamba M23 imeshindwa vita na hakuna ulazima wowote Serikali ya Kinshasa kuangahika ku-deal na watu wauuji walio shindwa vita, sana sana kinacho itajika kufanyika ni wanajeshi wa vyeo vya chini wa M23 wawe-demobilised waombe msamaha alafu wapewe majembe wakalime nchini mwao Kongo kama kweli ni Wakongoman, makomanda wao wa vyeo vya ngazi za juu washtakiwe as WAR criminals - jamaa hawa si wa kuonea huruma hata kidogo. M7 akileta mambo yake ya kutaka watu wasielewane ili apate kisingizio cha kuendeleza mgogoro ndani ya DRC kwa kuwa-support tena waasi wa M23 au kundi lolote lile, basi International Community itafute mbinu za kumuhunganisha kwenye mashtaka ya waarifu wa VITA, si ushahidi hupo.
 

lakini vile vile Tanzania na congo zitoe presha kwa marekani. Kwa sababu wakati sisi tunajua kuwa Uganda na Rwanda ndio wanaleta fujo hatuna ushahidi, marekani inao wote. sasa ni wakati wa marekani kuwa summoned UN kutoa ushahidi huu ili tuwashtaki kagame na Museveni.
Sababu ya marekani kuwalea hawa museveni na kagame sijui ni nini. Marekani anatoa tamko wazi wazi akisema rwanda na uganda wanafadhili M23 halafu nothing happens, imagine wangekuwa wanafadhili Al-qaeda yangeisha kisanii sanii tu kwa kunyima rwanda vidolari vya misaada?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…