M23, Kinshasa deal collapses
SHARE
BOOKMARK
PRINTRATING![]()
By Risdel Kasasira
Posted Tuesday, November 12 2013 at 13:12
SHARE THIS STORY
[COLOR=#04558B !important]0
in[COLOR=#333333 !important]Share[/COLOR]
[/COLOR]
Hopes to end decades of war in the eastern Democratic Republic of Congo were Monday dashed when the Kinshasa government and the defeated M23 rebels failed to sign the much- awaited peace agreement. The peace negotiations failed after Kinshasa demanded changes to the draft agreement, officials said.
The signing of the peace deal has been postponed indefinably. The M23 were present but the DR Congo delegation did not even agree to sit in the same room with M23 delegates. But the just sent the ambassador to get the copy of the unsigned agreement, government spokesman Ofwono Opondo said yesterday, adding that their meeting in Uganda was adjourned indefinitely.
While the DR Congo government insisted that the M23 make a public declaration that they renounced the rebellion, the M23 insisted on a comprehensive peace deal.
The meeting that started at 6:40pm, ended abruptly at 7:52pm when President Museveni adjourned it without a new date being scheduled.
The other issue of contention is whether the rebels who committed atrocities should be granted amnesty. The Congolese government, UN, US and EU official present at the meeting objected to the idea of blanket amnesty to M23 fighters.
Call to punish DR Congo human rights abusers
US envoy for the Great Lakes Region and DR Congo, Mr Russell Feingold has said members of the M23 rebel group who committed war crimes and crimes against humanity should not be given amnesty.
In an interview with the Daily Monitor at Imperial Golf View Hotel where the Congolese delegation and members of M23 were waiting to sign a peace deal on Monday, Mr Russell said the US and the international community supported Kinshasa on the proposal to deny amnesty to the alleged perpetrators of crimes against humanity.
The M23 rebels that have been operating in the mineral-rich eastern DR Congo, were flashed out of their Bunagana base by the national army, backed by a 3,000-strong special United Nations intervention brigade last week.
Following the defeat, the M23 rebels announced that their 20-month insurgency was over. The groups commander Sultani Makenga asked his troops to demobilise. About 1,633 M23 are currently under the protection of the Uganda army.
The agreement was expected to settle the fate of the M23 fighters who have crossed into Uganda. Uganda has refused to hand them over to DR Congo.
M23, Kinshasa deal collapses - National - monitor.co.ug
Mkuu mpaka sasa hivi huwa sielewi mantiki ya kufanya nchi ya Uganda ndio ifanye kazi ya kuwa wasuruhishi kati ya M23 na Serikali ya DRC, kwani Dunia haijui conflict of interest ya Uganda na mgogoro ndani ya DRC, nani alipendekeza Uganda kusimamia usuruhishi huu batiri. Kwa nini Serikali ya Uganda au M7 asishitakiwe kwa kuwa-support wauuaji wakubwa i.e M23, wakitaka kupata ushihidi wa kumburuza mahakama ya the Hague M7, wachunguze Silaha nzito walizo zikuta kwenya mahandaki yaliyo kuwa yanatumiwa na M23 wangalie nameplate ili wajue zilinunuliwa wapi na ni nchi gani ilizinunua - huo ndio utakuwa ushahidi tosha wa kumunganisha M7 kwenye war CRIMES, amekwisha chosha Dunia na uzabazabina wake, Dunia ikae ikijua M7 hana nia thabiti ya kutaka kumaliza mgogoro ndani ya DRC ndio maana anawag'ang'ania wapiganaji wa M23 na kamanda wao anataka kuwatumia kama bargain chip ya kutaka kuendeleza vurugu zake ndani ya Serikali ya Kinshasa, nia yake ni kutaka kuplant mastooge/waasi katika Serikali ya Kinshasa ili Kabila ashindwe kuendesha nchi yake bila ya migogoro hisiyo ya lazima - Kabila anapashwa kuwa makini na mbinu za M7 na M23, M7 hawezi kuwa amewapokea na kuwahifadhi waasi hao wa M23 nchni Uganda bila ya sababu ya msingi. M7 ndie anawapa kiburi M23 kwa kuwashauri walete madai yasiyo na kichwa wala miguu huku akijua wazi wazi kwamba M23 imeshindwa vita na hakuna ulazima wowote Serikali ya Kinshasa kuangahika ku-deal na watu wauuji walio shindwa vita, sana sana kinacho itajika kufanyika ni wanajeshi wa vyeo vya chini wa M23 wawe-demobilised waombe msamaha alafu wapewe majembe wakalime nchini mwao Kongo kama kweli ni Wakongoman, makomanda wao wa vyeo vya ngazi za juu washtakiwe as WAR criminals - jamaa hawa si wa kuonea huruma hata kidogo. M7 akileta mambo yake ya kutaka watu wasielewane ili apate kisingizio cha kuendeleza mgogoro ndani ya DRC kwa kuwa-support tena waasi wa M23 au kundi lolote lile, basi International Community itafute mbinu za kumuhunganisha kwenye mashtaka ya waarifu wa VITA, si ushahidi hupo.uganda ilazimishwe kurudisha M23 congo ili washitakiwe, na Rwanda vile vile imrudishe Nkundabatware. vinginevyo wapigwe tu.
Mkuu mpaka sasa hivi huwa sielewi mantiki ya kufanya nchi ya Uganda ndio ifanye kazi ya kuwa wasuruhishi kati ya M23 na Serikali ya DRC, kwani Dunia haijui conflict of interest ya Uganda na mgogoro ndani ya DRC, nani alipendekeza Uganda kusimamia usuruhishi huu batiri. Kwa nini Serikali ya Uganda au M7 asishitakiwe kwa kuwa-support wauuaji wakubwa i.e M23, wakitaka kupata ushihidi wa kumburuza mahakama ya the Hague M7, wachunguze Silaha nzito walizo zikuta kwenya mahandaki yaliyo kuwa yanatumiwa na M23 wangalie nameplate ili wajue zilinunuliwa wapi na ni nchi gani ilizinunua - huo ndio utakuwa ushahidi tosha wa kumunganisha M7 kwenye war CRIMES, amekwisha chosha Dunia na uzabazabina wake, Dunia ikae ikijua M7 hana nia thabiti ya kutaka kumaliza mgogoro ndani ya DRC ndio maana anawag'ang'ania wapiganaji wa M23 na kamanda wao anataka kuwatumia kama bargain chip ya kutaka kuendeleza vurugu zake ndani ya Serikali ya Kinshasa, nia yake ni kutaka kuplant mastooge/waasi katika Serikali ya Kinshasa ili Kabila ashindwe kuendesha nchi yake bila ya migogoro hisiyo ya lazima - Kabila anapashwa kuwa makini na mbinu za M7 na M23, M7 hawezi kuwa amewapokea na kuwahifadhi waasi hao wa M23 nchni Uganda bila ya sababu ya msingi. M7 ndie anawapa kiburi M23 kwa kuwashauri walete madai yasiyo na kichwa wala miguu huku akijua wazi wazi kwamba M23 imeshindwa vita na hakuna ulazima wowote Serikali ya Kinshasa kuangahika ku-deal na watu wauuji walio shindwa vita, sana sana kinacho itajika kufanyika ni wanajeshi wa vyeo vya chini wa M23 wawe-demobilised waombe msamaha alafu wapewe majembe wakalime nchini mwao Kongo kama kweli ni Wakongoman, makomanda wao wa vyeo vya ngazi za juu washtakiwe as WAR criminals - jamaa hawa si wa kuonea huruma hata kidogo. M7 akileta mambo yake ya kutaka watu wasielewane ili apate kisingizio cha kuendeleza mgogoro ndani ya DRC kwa kuwa-support tena waasi wa M23 au kundi lolote lile, basi International Community itafute mbinu za kumuhunganisha kwenye mashtaka ya waarifu wa VITA, si ushahidi hupo.