M23 kazini.

Hivi ni kwanini Wakristo wakipigana dhidi ya serikali wanaitwa WAASI na Waislamu wakipigana dhidi ya serikali wanaitwa MAGAIDI? hawa ni M23


Nalog off

hao wakristo wanadai wanapigania nini na waislamu wanadai wanapigania nini? Hao unaowaita wakristo ukiwauliza watakuambia wanapigania siasa, lakini waulize boko-haram, al-shabab na wengine watakuambia wazi kuwa wanapigania dola ya kiiislamu! (ukalifa) ndio maana waislamu magaidi, wakristo ni waasi.
 
By MFUKUZI

kama lengo lako ni kujua utulie ufahamishwe! Sio unauliza huku una majibu yako mfukuno!!. In fact sipendi kuzungumzia sana dini lakini kwa kuwa umeamua kutenganisha wapiganaji hawa kwa mlengo wa dini nitakujibu kwa mujibu wa dini!!

Vikundi vya kigaidi kama, Alshabaab, Al qeada, boko haram, tamir tigers nk mapigano yao hayana formula na hayana malengo ya kupindua na kuchukua uongozi wa nchi na vyote hivi wanapolipua,
wanapoua watu utasikia wakishuhudia 1"Alah akbal au takbirrr!!!" Hapo huhitaji kuwa na digrii kujua ni vikundi vya dini gani?

Waasi!! M23, Banyamulenge, (SWAPO, UNITA, ANC, FRELIMO NA RENAMO enzi ya kupigania uhuru) Hivi vinaitwa vikundi vya waasi kwa sababu lengo lao kuu ni kupigana na Serikali iliyopo madarakani kwa lengo kuchukua DOLA. Ila tofauti kubwa ni
kwamba hivi hutasikia 2.BWANA YESU asifiwe au YEHOVA tumaini letu...

Kiufupi, Uislam ni kama umetekwa nyara na hivi vikundi vya kihuni, mbaya zaidi jinsi ya kujinasua ni ndoto ya mchana.... tuendelee kuwaombea tu.





ukiitwa kilaza unakasirika...unaharaka ya nini ..soma ukiwa umetulia au una lako jambo..anzia kusoma kwenye green ya quote ya [MFUKUZI]
 
Nimekuelewa kiongozi.
Nalog off
 
Tafsiri ya uasi na ugaidi inategema na kamusi ya sera za ulinzi na mambo ya nje ya Marekani na Ulaya.China nayo imejumuika kutumia neno gaidi kwa raia wake,
NImekuelewa mkuu.
Nalog off
 
Hayo ni mawazo yako na pia ninayaheshimu sina nguvu za kukushawishi vinginevyo.Na kwa kuwa JF sio ya baba yako basi mi nitaendelea kuwepo tu humu ndani.
Nalog off
 
Nashukuru kwa kunifahamisha mkuu.
Nalog off
 
hahahaha mie sijakasirika bana! ila nakubali nilikurupa kwa kusoma vibaya hapo kwenye"HUTASIKIA" nilichukulia kama UTASIKIA.
Nalog off
 
Nitakaa chini na mke wangu,nimuombe ridhaa tuchukue ka em twenti thrii kamoja ka kike kwa ulinzi na usalama wa nyumba yetu!
Halafu unachanganya naye damu,santee hilo ni bonge la wazo.
Nalog off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…