Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,117
- 454,355
Abeeh niko apa namshangaa mlevi wa kichaga wa kula chapati na safari lager
Hivi part 11 alimalizia
Abeeh niko apa namshangaa mlevi wa kichaga wa kula chapati na safari lager
Naona part 11 imeenda na maji
Naona part 11 imeenda na maji
Part 2 ikwapi boss?
Tupe habari za mrembo Happy basi.
Niliacha story iendelee ndo niingie ila nimekuta holla
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekumiss mno mno. Nimehamia karibu na ofisini kwako halafu. Weekend nikiwa bored nitakua nakuja kukuiba twende kwa Davie pale chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani jamani sema kweli umehamia mjini dada umetoka kule mafichoni kwahiyo tumekuwa majiraniNimekumiss mno mno. Nimehamia karibu na ofisini kwako halafu. Weekend nikiwa bored nitakua nakuja kukuiba twende kwa Davie pale chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuma voice note apa bwana acha kutuchoshaNaona uvivu kuandikaa...
Nimcall nani nimhadisie anisaidie kuandika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa davie bar
Naona uvivu kuandikaa...
Nimcall nani nimhadisie anisaidie kuandika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani jamani sema kweli umehamia mjini dada umetoka kule mafichoni kwahiyo tumekuwa majirani
Bora aiseee mafichoni hakufai halafu utakuwa jirani yako General Mangi
Huyu mtu jana alikuulizia sana alinipa salaam zako DavetNimekumiss mno mno. Nimehamia karibu na ofisini kwako halafu. Weekend nikiwa bored nitakua nakuja kukuiba twende kwa Davie pale chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaiona walaaAbeeh niko apa namshangaa mlevi wa kichaga wa kula chapati na safari lager
Hivi part 11 alimalizia
Hapana jamani dadaKhaaaaa mbona unanitafutia ubaya
Naona part 11 imeenda na maji