M Pesa na CRDB haitumi wala kupokea pesa

M Pesa na CRDB haitumi wala kupokea pesa

Jambo nililojiwekea akilini .... usiwe na option moja ya mifumo ya fedha.
Mfano una account moja tu ya bank, una line moja tu ya simu, rafiki asieweza kukukwamua katika shida kifedha ama mawazo/ushauri endelevu bila kufanya matangazo -- snitching, etc.
Unapokuwa na mahitaji ya haraka na muhimu waweza jilamu ama lamu kwa kitu ambacho ungeweza kukabiliana nacho kwa namna nyingine.
 
Siku hizi unaweza amka tu ukakuta bank unayotumia haitaki kufanya jambo lolote,si kulipia huduma yoyote wala kutoa pesa.
Hata mitandao ya simu ni hivyo hivyo,na hakuna cha sms ya angalizo ni ghafla tu.

Ushauri hakikisha unakuwa na cash kiasi kadhaa na sio kuacha hela ktk hayo mataasisi ya fedha,kama ni umeme nunua mara 2 kisha mwingine tunza kabatini,usipozingatia ushauri huu kuna siku utalala giza na una laki kwenye simu.
 
Back
Top Bottom