Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,293
- 6,901
Okay, nilikua sijui hiloMombasa.
Ova
Usidanganyike kirahisi: m = mobile na siyo mombasa.Okay, nilikua sijui hilo
Hapa mnanichanganya sasa mkuu😂Usidanganyike kirahisi: m = mobile na siyo mombasa.
Therefore: M pesa ni mobile pesa
Naonekana nina mambo mengi kisa nina laini kila mtandao wa simu.Jambo nililojiwekea akilini .... usiwe na option moja ya mifumo ya fedha.
Mfano una account moja tu ya bank, una line moja tu ya simu, rafiki asieweza kukukwamua katika shida kifedha ama mawazo/ushauri endelevu bila kufanya matangazo -- snitching, etc.
Unapokuwa na mahitaji ya haraka na muhimu waweza jilamu ama lamu kwa kitu ambacho ungeweza kukabiliana nacho kwa namna nyingine.
🤣🤣Kuna M Pesa ya Safaricom mkuu. Ubishi mwingine ni kulimbikiza ujinga sometimes.
Ova