M-Pesa Luku

M-Pesa Luku

Easymutant

R I P
Joined
Jun 3, 2010
Posts
2,564
Reaction score
1,135
Huduma ya m-pesa kununua luku kama ingekuwa ni amri yangu ningefunga hiyo huduma unalipia Luku kwa M-pesa inachukua saa zaidi ya 4 kupata tokens za kuweka kwenye Mita sijaona umuhimu wake zaidi ya kuwa kero..
 
Umelazimishwa kutumia M-Pesa? Si utumie Tigo-Pesa?
 
Tigo Pesa na M pesa katika Luku wote ni wahuni tu, hata kama mtandao mbovu, lakini kwanza wanakata ela bila ya kukupa i salio lako la luku
 
Kwa kweli mm cjawahi kupata usumbufu na hiyo huduma ila cha kuzngatia kuna mida mibaya ambyo server zinakuwa down sana ambyo ni saa sita mpka nane mchana na jioni mida Ya saa kumi na mbili mpk tatu usiku huwa server zina kuwa busy sana kw mawazo yngu itakuwa hii mida ina kuwa na watumiaji wengi sana jarbu kuepuka kama ina wezekana. Huu ni mtazamo wngu jmn
 
Mwanzo wa mwezi huwa ni wengi wanaonunua LUKU, jaribu kuepuka kununuwa siku za mwanzo wa mwezi, nunua kuanzia tarehe 5 mpaka 25, mambo yanakuwa swaaafi kabisa.
 
Mwanzo wa mwezi huwa ni wengi wanaonunua LUKU, jaribu kuepuka kununuwa siku za mwanzo wa mwezi, nunua kuanzia tarehe 5 mpaka 25, mambo yanakuwa swaaafi kabisa.

inawezekana mkuu..maake nimenunua luku ya elfu tano tareh 31.10 mpaka sasa hola...ukipiga voda...network busy
 
kuanzia tar za mwisho wa mwezi matatizo hayo yapo hata kwa huduma za mpesa na tigo pesa tar izo bora uende kwa vender kama network inasumbua anakupa ukweli tofauti na kwene simu haikwambii network iko down au mfano tar iyo ulionunu luku system ilikuwa down
 
inawezekana mkuu..maake nimenunua luku ya elfu tano tareh 31.10 mpaka sasa hola...ukipiga voda...network busy

Nenda kiosk kanunuwe japo ya 1,000 hiyo uliyotumia itaingia baada ya kuipata ile ya kiosk. It worked for me once. Nilituma fedha kwa sms za LUKU nikangoja masaa 5 haijaja LUKU, kwenda kununuwa kwenye kiosk na ile ikaingia. Tekinolojia zina manufaa na zina usumbufu wa hapa na pale ni kuzichukulia tu, zikikuwa zitaacha.
 
nenda kiosk kanunuwe japo ya 1,000 hiyo uliyotumia itaingia baada ya kuipata ile ya kiosk. It worked for me once. Nilituma fedha kwa sms za luku nikangoja masaa 5 haijaja luku, kwenda kununuwa kwenye kiosk na ile ikaingia. tekinolojia zina manufaa na zina usumbufu wa hapa na pale ni kuzichukulia tu, zikikuwa zitaacha.

ahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa_thanx mkuu
 
Ulitumia lini? kama ni mwisho wa mwezi au mwanzoni kunakua na request nyingi za wateja so system ya Tanesco inazidiwa na kuhang, time nayo nzuri ya kununua umeme ni asubuhi mpaka at least saa kumi jioni. Pole sana
 
Wakuu mimi nimenunua kupitia M PESA kwa kithibitisho K94GG049 tar 31/10/2012 hadi leo hola!Nikiwapigia Voda wananiambia eti niende mkoani na nauli tu kwenda na kurudi 30,000!
 
Wakuu mimi nimenunua kupitia M PESA kwa kithibitisho K94GG049 tar 31/10/2012 hadi leo hola!Nikiwapigia Voda wananiambia eti niende mkoani na nauli tu kwenda na kurudi 30,000!

Kama umelipa kwa M-PESA na ukakatwa hela, tatizo linakuwa sio M-PESA. Tatizo linakuwa ni upande wa TANESCO kwenye EVG (Electronic Vendor Gateway). Hii EVG mara nyingi sana inakuwa kimeo na ndio maana unakuta M-PESA hela wamekata lakini umeme hupati. TANESCO wanahitaji kuiboresha hii kitu aisee maana kununua umeme kwa simu ni njia bora zaidi kwa mteja kuliko njia nyingine zote.
 
Huduma ya m-pesa kununua luku kama ingekuwa ni amri yangu ningefunga hiyo huduma unalipia Luku kwa M-pesa inachukua saa zaidi ya 4 kupata tokens za kuweka kwenye Mita sijaona umuhimu wake zaidi ya kuwa kero..
Unailaumu Mpesa bure kwani hawa jamaa ni facilitators tu. Kwani wakati server za tanesco zikiwa na hitilafu ku-access into tanesco system inakuwa ngumuj
 
m pesa ni usumbufu watakupa namba za tanesco uwapigie ingawaje simu itapokelewa lakini hakikisha una salio la kutosha vinginevyo token utatumiwa baada ya wiki ,tumia njia hii kama huna njia nyingine ila ina usumbufu mkuubwaaaa saaana ,.
 
airtel money ina nafuu, yenyewe ukimaliza kutuma, mara moja unapata namba, haina mlolongo wa pesa kutumwa kwenye akaunti kisha ndio namba zije.
Ila voda yote ni wizi mtupu.
 
jana nilipata token baada ya masaa matano na dakika 12. Ilikuwa kupitia M-Pesa na wa 32,000/=. Ilibidi niende kwa vendor ninunue wa kvutia muda wa 5,500/=. Sambamba na LUKU nilinunua StarTimes ya 18,000/= kupitia M-Pesa muda huohuo na ilichukua kama dakika 5 kuwa activated
 
airtel money ina nafuu, yenyewe ukimaliza kutuma, mara moja unapata namba, haina mlolongo wa pesa kutumwa kwenye akaunti kisha ndio namba zije.
Ila voda yote ni wizi mtupu.

Hawa ndio hovyo kabisa nimelipia dstv sh 128000/= toka tarehe 25/10 hadi hivi sasa sijapewa huduma,kila ukiwapigia ni hadithi tu.
 
Hujalazimishwa kutumia hizo huduma,halafu M-Pesa kama network inazingua hawakati hela na unatumiwa kuwa kuna matatizo kwa sasa,ila tiGO wanalamba hela yako kama kawaida so tiGO ndo wanazingua sana maumivu yakizidi hamia Airtel Money
 
Back
Top Bottom