njugilo
Member
- Feb 8, 2010
- 58
- 28
Wakuu toka tarehe 01/04/2013 kuna pesa nimezituma kwa ndugu lakini zijapata ripoti ya kuwa zimekwenda au kukwama lakini ndugu kasema hajazipata,na tarehe iliyofuatia niliongeza salio kwenye akaunti lakini taarifa mrejesho kwa wakala ikatoka kwangu sijapata.Nikatuma tena pesa kwa ndugu mwingine yeye kazipata lakini taarifa za mrejesho sijazipata.Nimejaribu kupiga namba hizi za huduma 15000 na 15366 (customer care) na haziiti muda wote "'Network busy"
Sasa kama kuna yeyote anayejua njia mbadala za kuweza kuwapata mnijuze tafadhari!
Sasa kama kuna yeyote anayejua njia mbadala za kuweza kuwapata mnijuze tafadhari!