The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,151
- 20,065
Huduma ya M-PESA haipatikani toka usiku.
Hizi huduma za mitandao sio za kuamini sana unaweza kulala njaa au kuachwa na gari kwa kuhifadhi pesa kwenye hii mitandao.
Kuna siku almanusura niachwe na ndege kwa kutegemea mtandao wa NMB halafu siku hiyo ukagoma kufanya kazi.
Hizi huduma za mitandao sio za kuamini sana unaweza kulala njaa au kuachwa na gari kwa kuhifadhi pesa kwenye hii mitandao.
Kuna siku almanusura niachwe na ndege kwa kutegemea mtandao wa NMB halafu siku hiyo ukagoma kufanya kazi.