vollies JF-Expert Member May 31, 2015 748 446 Nov 13, 2016 #1 Wakuu hii ishu nitalipa tu sijakataa naomba nijenge nyumba yangu iliyopata ufa kagera
hazole1 JF-Expert Member Jan 3, 2015 4,319 3,911 Nov 13, 2016 #2 Kama serikali ilidiliki kunywa uji wa wagonjwa je sisi watu ambao ni wazima tutaponea wapi.
Blank page JF-Expert Member May 28, 2015 4,728 3,172 Nov 13, 2016 #3 hahaha lazimaaa mpesa na acb bank wakutafte popote pale hawajali hata kam uko kageraaaa