Nairobifly
Member
- May 3, 2012
- 75
- 26
"Chinja Chinya ya Ccm" R.I.R Mwenyekiti
M/kiti wa Cuf kibaha ameuwawa ucku wa jana kwa kuvamia na watu wasiopungua kumi na tano wakitumia mapanga. Marehemu alihama ccm na kujiunga na cuf na kuwa mwiba mkali kwa ccm.Ijumaa iliyopita alimweleza jirani yake kuwa anawindwa kuuwawa na wapinzani wake kisiasa. source.mlimani tv.
Huwezi kuua binadamu mwenzako useme siasa jamani? Rais wetu tusaidie
walianza kumuua m/kiti wa chadema kule arumeru baada uchaguzi na sasa huyu m/kiti wa cuf kibaha vijijini, tena wauaji walimwambia sababu ya kifo ni kitendo chake cha kuhama ccm. Jamani hizi chuki za kisiasa ktk nchi yetu zimefikia hapa?. Nadhani ipo haja kwa viongozi wa upinzani kuyatafutia dawa haya matukio.
Walianza kumuua m/kiti wa CHADEMA kule Arumeru baada uchaguzi na sasa huyu m/kiti wa CUF KIBAHA Vijijini, tena wauaji walimwambia sababu ya kifo ni kitendo chake cha kuhama CCM. Jamani hizi chuki za kisiasa ktk nchi yetu zimefikia hapa?. Nadhani ipo haja kwa viongozi wa Upinzani kuyatafutia dawa haya matukio.
Walianza kumuua m/kiti wa CHADEMA kule Arumeru baada uchaguzi na sasa huyu m/kiti wa CUF KIBAHA Vijijini, tena wauaji walimwambia sababu ya kifo ni kitendo chake cha kuhama CCM. Jamani hizi chuki za kisiasa ktk nchi yetu zimefikia hapa?. Nadhani ipo haja kwa viongozi wa Upinzani kuyatafutia dawa haya matukio.