Goheki
JF-Expert Member
- Aug 23, 2011
- 448
- 387
M/kiti wa Cuf kibaha ameuwawa ucku wa jana kwa kuvamia na watu wasiopungua kumi na tano wakitumia mapanga. Marehemu alihama ccm na kujiunga na cuf na kuwa mwiba mkali kwa ccm.Ijumaa iliyopita alimweleza jirani yake kuwa anawindwa kuuwawa na wapinzani wake kisiasa. source.mlimani tv.