M/Kiti Wa Bavicha Patrobas Katambi Aiteka Manyara

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
M/KITI WA BAVICHA PATROBAS KATABIMBI AITEKA MANYARA.

M/Kiti wa BAVICHA ,juzi aliusimamisha mji wa Babati kwa muda,alipo wasili katika mji huo kwaajili ya Mkutano wa Hadhara.

Aliongozana na Viongozi wote wa Mkoa huo,kama wenyeji pamoja na Wabunge na wagombea ambao kura zao hazikutosha,huu ni mwanzo wa safari ndefu alionayo kuzunguka katika mikoa yote kwaajili ya ujenzi wa Chama na kuimarisha Baraza.

M/kiti alizungumzia mambo,mengi ikiwa ni pamoja na kuwa kumbusha Vijana kutimiza majukumu ya bila woga kwa kujitoa bila kuchoka ili kutimiza malengo tuliojiwekewekea kama Chama,badala ya kuendelea kulalamika kwa kukwepa majukumu au kutotimiza majukumu yako kama kija katika kuipigania nchi yako.

M/kiti aliwashukuru Wanababati kwa kutupatia Mbunge pamoja na Halmashauri,na aliwasifu watu wa Babati kwa umoja,ujasiri na mshikamano waliounesha katika kipindi chote cha uchaguzi hata kupata Mbunge.

Vija sasa uchaguzi umekwisha,turudi katika harakati mpya za ujenzi wa chama chetu.

Edward Simbeye
Katibu Mwenezi BAVICHA (T)M/
 

Attachments

  • IMG-20160308-WA0024.jpg
    IMG-20160308-WA0024.jpg
    62.9 KB · Views: 75
  • IMG-20160308-WA0023.jpg
    IMG-20160308-WA0023.jpg
    102.6 KB · Views: 52
  • IMG-20160308-WA0022.jpg
    IMG-20160308-WA0022.jpg
    75.6 KB · Views: 48
  • IMG-20160308-WA0025.jpg
    IMG-20160308-WA0025.jpg
    103.3 KB · Views: 71
Lema aliwahi kusema hakuna dhambi kubwa duniani kama uwoga nawapongeza sana baraza la Vijana Bavicha kwa msimamo wa kutorudi nyuma daima vijana tutajitoa bila kuogopa chochote huu uonevu unaendelea dhidi ya vyama vya upinzani sasa inatosha.
 
kashindwa kumpata mwenyekiti wa bawacha shinyanga, kulipia pango la ofisi za chama halafu anawambia waache woga, si aende unguja kumsaidia maalim au ukawa haipo tena?
 
kashindwa kumpata mwenyekiti wa bawacha shinyanga, kulipia pango la ofisi za chama halafu anawambia waache woga, si aende unguja kumsaidia maalimm au ukawa haipo tena?
ficha ujinga wako Maalim Seif alikuambia anataka kusaidiwa
 
Haja ya kujenga chama inaongezeka has a baada ya Watanzania kujengewa tabia ya uvumilivu kwa mfano
Umeme wa mgao utakuwa historia
Maji yatakuwa ya kumwaga

Viwanda vitajaa nchi nzima

Elimu itakuwa bora sana

Wakulima watanufaika sana

Wafanyakazi watacheka

Leo kile kitabu cha Mh. Mkono Nimrod " The promise" imekuwa kawaida ya ccm
 
M/KITI WA BAVICHA PATROBAS KATABIMBI AITEKA MANYARA.

M/Kiti wa BAVICHA ,juzi aliusimamisha mji wa Babati kwa muda,alipo wasili katika mji huo kwaajili ya Mkutano wa Hadhara.

Aliongozana na Viongozi wote wa Mkoa huo,kama wenyeji pamoja na Wabunge na wagombea ambao kura zao hazikutosha,huu ni mwanzo wa safari ndefu alionayo kuzunguka katika mikoa yote kwaajili ya ujenzi wa Chama na kuimarisha Baraza.

M/kiti alizungumzia mambo,mengi ikiwa ni pamoja na kuwa kumbusha Vijana kutimiza majukumu ya bila woga kwa kujitoa bila kuchoka ili kutimiza malengo tuliojiwekewekea kama Chama,badala ya kuendelea kulalamika kwa kukwepa majukumu au kutotimiza majukumu yako kama kija katika kuipigania nchi yako.

M/kiti aliwashukuru Wanababati kwa kutupatia Mbunge pamoja na Halmashauri,na aliwasifu watu wa Babati kwa umoja,ujasiri na mshikamano waliounesha katika kipindi chote cha uchaguzi hata kupata Mbunge.

Vija sasa uchaguzi umekwisha,turudi katika harakati mpya za ujenzi wa chama chetu.

Edward Simbeye
Katibu Mwenezi BAVICHA (T)M/
aende dar akawambie waache uoga wapigane hadi meya apatikane, aende na unguja akawaambie wayalinde maskani yasichomwe moto, huko babati ni kipindi cha kilimo awaache watu wafanye shughuli za kujiongezea kipato.
 
Haja ya kujenga chama inaongezeka has a baada ya Watanzania kujengewa tabia ya uvumilivu kwa mfano
Umeme wa mgao utakuwa historia
Maji yatakuwa ya kumwaga

Viwanda vitajaa nchi nzima

Elimu itakuwa bora sana

Wakulima watanufaika sana

Wafanyakazi watacheka

Leo kile kitabu cha Mh. Mkono Nimrod " The promise" imekuwa kawaida ya ccm
wala haya sio matatizo ya wananchi kwa sasa, matatizo yao ni kero za manesi na madaktari.
 
Na huu ndio mwanzo BAVICHA rasim kazin baada ya Uchaguzi kumbuka mwisho wa Uchaguzi mmoja ndio mwanzo wa Uchaguzi mwingine
 
Back
Top Bottom