goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,151
Ni muda sasa imesikika wanaume wakiwa wanalalama juu ya wanawake kuwapiga mizinga mizito hadi kushindwa kihimili lakini kuna tatizo pande zote kati ya wanawake na wanaume.
Wanaume kumbukeni unapo mhitaji mwanamke lazima umuhudumie na yeye pia anaamua kujiongeza kwa kuomba pesa ya ziada kwa staili ya mizinga, kwa namna hii wanaume wanaumizwa na kukerwa mno ukizingatia pia uchumi umekuwa tatizo kubwa miaka ya hivi karibuni.
Kwa upande wa wanawake itumieni mizinga hii kama
" fursa " kujiendeleza mwenyewe unaweza kufungua biashara ndogo kama duka au mradi wowote ambao itakusaidia mbeleni, na mizinga isiwe mikubwa kiasi cha kumkomoa mwenzio angalia mifukoni mwao hali ya uchumi ni tete jaribuni kuwa huruma, sasa unakuta demu anapiga mizinga lakini anaishia kula bata , kununua nguo , n.k mwisho wa siku atagundua kapoteza muda kapoteza pesa, na papa katoa keshakimbiwa tayari na mwanaume kilichobaki ni kutusi wanaume " oooh... Johnny mwenyewe kibamia yule "
ila naweza kusema ni mkoa wa dar es salaam na pwani ndiyo wana hiyo mbinu ya kupiga mizinga, kwa utafiti huu Mdogo nimeona mikoani wanawake hawana mizinga wengi hupiga kazi kujipatia kipato chao binafsi, husaidiana na wenzi wao katika mambo mbali mbali,
Ukija pwani na dar utagundua wanawake ni wavivu hawataki kazi bali huchagua kazi, wamebaki kupiga mizinga tu lakini hizo hela haziwaletei manufaa yeyote wala mabadiliko yeyote kwao.
Kwa wanaume punguzeni kulalama tafuta suhulisho la tatizo na siyo kutafuta tatizo kwa kuchepuka na kuleta mabalaa, ukiona mizinga mwambie ukweli kuwa siwezi kumudu hiyo mizinga na utafute namna ya kufanya kwa njia nyingine.
Huu ni wakati wa mabadiliko tuache lawama na malalamiko yasiyo na kichwa wala miguu.

Wanaume kumbukeni unapo mhitaji mwanamke lazima umuhudumie na yeye pia anaamua kujiongeza kwa kuomba pesa ya ziada kwa staili ya mizinga, kwa namna hii wanaume wanaumizwa na kukerwa mno ukizingatia pia uchumi umekuwa tatizo kubwa miaka ya hivi karibuni.
Kwa upande wa wanawake itumieni mizinga hii kama
" fursa " kujiendeleza mwenyewe unaweza kufungua biashara ndogo kama duka au mradi wowote ambao itakusaidia mbeleni, na mizinga isiwe mikubwa kiasi cha kumkomoa mwenzio angalia mifukoni mwao hali ya uchumi ni tete jaribuni kuwa huruma, sasa unakuta demu anapiga mizinga lakini anaishia kula bata , kununua nguo , n.k mwisho wa siku atagundua kapoteza muda kapoteza pesa, na papa katoa keshakimbiwa tayari na mwanaume kilichobaki ni kutusi wanaume " oooh... Johnny mwenyewe kibamia yule "
ila naweza kusema ni mkoa wa dar es salaam na pwani ndiyo wana hiyo mbinu ya kupiga mizinga, kwa utafiti huu Mdogo nimeona mikoani wanawake hawana mizinga wengi hupiga kazi kujipatia kipato chao binafsi, husaidiana na wenzi wao katika mambo mbali mbali,
Ukija pwani na dar utagundua wanawake ni wavivu hawataki kazi bali huchagua kazi, wamebaki kupiga mizinga tu lakini hizo hela haziwaletei manufaa yeyote wala mabadiliko yeyote kwao.
Kwa wanaume punguzeni kulalama tafuta suhulisho la tatizo na siyo kutafuta tatizo kwa kuchepuka na kuleta mabalaa, ukiona mizinga mwambie ukweli kuwa siwezi kumudu hiyo mizinga na utafute namna ya kufanya kwa njia nyingine.
Huu ni wakati wa mabadiliko tuache lawama na malalamiko yasiyo na kichwa wala miguu.

