Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,102
- 2,718
Kamanda wa Monusco Goma anasema m 23 wakijaribu kuiteka Goma Monusco italisaidia Jeshi la Kongo. Hii ni mara ya Kwanza Monusco wamesikika wakiongea namna hii.
Pia Kamanda wa Tanzania Goma anasema watawalinda raia Goma na wanaahidi kwamba adui akifika pale hawatakimbia na kuwaacha raia wateseke.
Hizi vita zinapotokea Afrika ni kwa ajili ya njama ya watu wale wanaotaka kuanzisha New World Order.
New World Order maana yake wanafikiria kuanzisha mpango moya wa kuitawala dunia,mpango wa kuleta aina mpya ya kuongoza maisha ya wanadamu,kuleta aina mpya ya utawala duniani.
Mpango huu wa New World Order unategemea sana kupunguza idadi ya watu. Depopulation is the key word.
Mpango wa New World Order unaanza na kupunguza idadi ya watu.
Pia Kamanda wa Tanzania Goma anasema watawalinda raia Goma na wanaahidi kwamba adui akifika pale hawatakimbia na kuwaacha raia wateseke.
Hizi vita zinapotokea Afrika ni kwa ajili ya njama ya watu wale wanaotaka kuanzisha New World Order.
New World Order maana yake wanafikiria kuanzisha mpango moya wa kuitawala dunia,mpango wa kuleta aina mpya ya kuongoza maisha ya wanadamu,kuleta aina mpya ya utawala duniani.
Mpango huu wa New World Order unategemea sana kupunguza idadi ya watu. Depopulation is the key word.
Mpango wa New World Order unaanza na kupunguza idadi ya watu.