Lyrics: Inaniuma sana by Juma Nature Kiroboto

Lyrics: Inaniuma sana by Juma Nature Kiroboto

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,984
Reaction score
134,134
Lyrics

Siku ya kwanza kukutana naye alikuja kwetu usiku,
alikuta nimechoka nimetoka ku record usiku,
walikua kama wanne hivi ndani ya gari aina ya chaser,
wamejaa hangover utazani jana yake walikesha,
akaja mshikaji wangu mmoja, kutoka kwenye lilelile gari akaja moja kwa moja, mpaka kwenye mlango wa gheto,

nature nature kuna mtu anakuhitaji, embu toka umuone,
kutoka nje namkuta msichana namfahamu kwa jina la tina,
ambaye alisoma dsj chuo kile kikuu cha habari na nakatika kipindi hichi chote alikua anaishi hosteli, mshikaji akamuita, akasema huyo juma huyu hapa, sasa ongea nae muelewane, muende mkajichane.

inaniuma sana, nikifikilia huwaga nina lia, inaniuma sana, kila ninalofanya,
linakosekana, inaniuma sana hata watoto wadogo wananicheka sana
inaniuma sana, nikifikilia huwaga nina lia, inaniuma sana, kila ninalofanya, linakosekana,
inaniuma sana demu wangu amepima amekutwa anangoma,

.......itaendelea....naendelea kuandika mistari
 
Lyrics

Siku ya kwanza kukutana naye alikuja kwetu usiku,
alikuta nimechoka nimetoka ku record usiku,
walikua kama wanne hivi ndani ya gari aina ya chaser,
wamejaa hangover utazani jana yake walikesha,
akaja mshikaji wangu mmoja, kutoka kwenye lilelile gari akaja moja kwa moja, mpaka kwenye mlango wa gheto,

nature nature kuna mtu anakuhitaji, embu toka umuone,
kutoka nje namkuta msichana namfahamu kwa jina la tina,
ambaye alisoma dsj chuo kile kikuu cha habari na nakatika kipindi hichi chote alikua anaishi hosteli, mshikaji akamuita, akasema huyo juma huyu hapa, sasa ongea nae muelewane, muende mkajichane.

inaniuma sana, nikifikilia huwaga nina lia, inaniuma sana, kila ninalofanya,
linakosekana, inaniuma sana hata watoto wadogo wananicheka sana
inaniuma sana, nikifikilia huwaga nina lia, inaniuma sana, kila ninalofanya, linakosekana,
inaniuma sana demu wangu amepima amekutwa anangoma,

.......itaendelea....naendelea kuandika mistari
Punguza konyagi na bia isije ukawa una mwandikia mpenzi wako
 
Who knows labda nimeiuandikia wewe demu.wangu
FAFO ukimaliza sikukuu utakuja.
Screenshot_20251229-133654.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom