Lwakatare amefunguka...


Hapo penye redLWAKATARE unamaanisha nini? unakanusha halafu unakubali. si useme tu?
 
HAMY D ndio aliyeleta uzushi hapa jf kuhusu Lwakatare,

mkuu, huo si uzushi na ndo maana leo mwenyewe amekiri kuwa kuna watu wanampa changamoto ndani ya chadema. je hao hawazezi kuwa maadui zake?
 
Well said Kamanda Lwaka!Magambaz........za uso vaba!
 
Pole sana kamanda Lwakatare, kuna mengi ya kushauliana ili jambo kama hili lisitokee tena kwa mwanachadema halisi, awe kiongozi wa juu au raia / mwanachama asiyekuwa na wadhifa wowote kichama.
 

Kuna MPUMBAVU aliweka uzi wa KIMIPASHO hapa, eti Kamanda kasema kuna unafiki ndani ya CDM... Aje hapa sasa ...
Hatupendi mtulishe maneno kwani maneno tunayo wenyewe...
 

sure mkuu. angalia na picha hii hapa chini halafu ndo utajua kuwa chadema ni janga la taifa
 
mkuu, huo si uzushi na ndo maana leo mwenyewe amekiri kuwa kuna watu wanampa changamoto ndani ya chadema. je hao hawazezi kuwa maadui zake?

Wewe mbona unaushabiki usiokuwa na tija?.?tafuta maana ya changamoto kwanza.kisha tafuta maana ya adui alafu ndipo urejee hapa.
 
Mkuu habu muulize mh Lwakatare yale maagizo yake ya kuteka watu walengwa walikuwa nani?
Halafu sera ya nchi kutotawalika mnaitekelezaje?

umepanic baada ya kuona habari yenu ya uzushi imekanushwa na credible source??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…