Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,295
Mkuu habu muulize mh Lwakatare yale maagizo yake ya kuteka watu walengwa walikuwa nani?
Muulize Ludovick na Mh. Mwigulu Nchemba
Halafu sera ya nchi kutotawalika mnaitekelezaje?
Hakuna sera kama hiyo kuna watu wanaogopa kivuli chao