Lusinde: Wembe ni ule ule Arusha!

Gagurito

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2011
Posts
5,600
Reaction score
811
Amesema yupo tayari kwenda kumnadi mgombea ubunge wa ccm katika chaguzi ndogo wenye mashaka Arusha.
 
Huyu ndo jembe letu nsa tunamuamini!
 
mwache aje kwani ataturahisishia ushindi. Pia Wassira, Mkapa, nape nao wasikose kuja. CHD hatuna hata haja ya kukampeini.
 
...yeye tu ndie kabaki kwenye chama "letu", tutamtumia kudadadeki!
 
"Huyu ni Ze komedi wa kampeni zetu.!"
 
tehetehe nadhani atakuwa ametayarisha kamusi mpya ya MATUSI
 
Jamaa anafuata Per Diems to hakuna kupiga kampeni. Akikuta machalii wamepata CHA ARUSHA halafu awaambie wanapewa viroba na ndumu na CDM ili watukane wazazi wao, machalii watamdunda
 
Kama anataka kurudi Mtera akiwa ameongezewa jina la tatu(marehemu)aende A-Town akaongee maneno yake aliyoyatoa huko Arumeru Mashariki.
 
watu wanawaza magomvi na matusi....halafu wanasema chaguo la mungu..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…