Mo-TOWN
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,721
- 515
Huyo ni tumaini la CCM...ilikuwa ngumu sana kwa CCM kuzungumza sera ili waeleweke...kwa hiyo uwepo wa watu kama Lusinde Mkapa na Wasira uliwasaidia sana walau kuweza kushiriki katika majukwaa ya kampeni... nje ya matusi ingekuwa ngumu kama vile 2010 CCM ilipojitoa kwenye midahalo iliyoendeshwa na TV ya taifa-TBC.