Wacha
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 1,052
- 287
Mods naona mngebadili kichwa cha hii habari. Lusekelo hakati tawi alilokalia bali anatimiza kile ambacho alifundishwa na kuamini kwamba haki inatendeka katika nyanja ya habari, pia onyo kubwa kwa Mafisadi yeyote atakayemdhuru tutapambana naye. Adam endeleza libeneke hadi pale tutakapoweza kuikomboa Tanzania iliyovamiwa na Mafisadi.