LUMUMBA: Mjinga ni mzingo wa kuni mbichi.

LUMUMBA: Mjinga ni mzingo wa kuni mbichi.

mr mkiki

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2016
Posts
5,721
Reaction score
11,925
NCHI HII HINAWEZA KUFANYA HATA KAMA BADO KIJANA HUKATE TAMAA YA MAISHA JAPOKUWA UMRI UNARUHUSU KUPAMBANA NA MAISHA.....

1. Nchi matamko.

2. Nchi katiba mbovu.

3. Nchi hakuna ajira.

4. Nchi omba omba.

5. Nchi kila mtu ana pembe.
 
Sahihisha maneno kwenye uzi wako, unaleta taabu kwenye Lugha
Hinaweza -inaweza
Hukate - ukate
 
lu.umba tena kunann au nako kunafukuta kama cuf,
 
Back
Top Bottom