Bwana Chiniko
Member
- Jul 18, 2016
- 20
- 9
Nyota ya muigizaji Elizaberth Michael 'Lulu' imeonekana kuendelea kung'ara baada ya kutajwa na aliyekuwa mshindi wa shindano la Big Brother Africa{BBA}, Idris Sultan kuwa ndiye staa wa kike wa kibongo anayevutiwa kuzaa naye.
Lulu kwa sasa yuko mapenzini na bosi wa kituo kimoja cha redio na runinga nchini, ameelezewa na Idris kuwa ndiye staa wa kike wa kibongo aliyetulia na mwenye sifa kuwa mke wa mtu, ''ametulia sana kwa sasa, anafaa kuwa mke''.
Lulu kwa sasa ambaye ametajwa kuwa kwenye maisha ya kifahari huku akimiliki mali kadhaa zenye thamani ya juu, ikichangiwa na kile kinachosemekatna kuwa ni baada ya kusomewa dua maalum na Ostadh Nurdini. 0655 79 33 35
Lulu kwa sasa yuko mapenzini na bosi wa kituo kimoja cha redio na runinga nchini, ameelezewa na Idris kuwa ndiye staa wa kike wa kibongo aliyetulia na mwenye sifa kuwa mke wa mtu, ''ametulia sana kwa sasa, anafaa kuwa mke''.
Lulu kwa sasa ambaye ametajwa kuwa kwenye maisha ya kifahari huku akimiliki mali kadhaa zenye thamani ya juu, ikichangiwa na kile kinachosemekatna kuwa ni baada ya kusomewa dua maalum na Ostadh Nurdini. 0655 79 33 35