Lukuvi ni kihiyo au?

Lukuvi ni kihiyo au?

Anthonio

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2012
Posts
202
Reaction score
21
Mh Lukuvi ni kihiyo? maana ameshindwa kutofautisha MTAALA "CURRICULUM" na MUKHUTASARI "SYLLABUS", mjengoni leo.
 
kuhusu ukihiyo sijui
Ila najua ni mchumia tumbo, hana ubavu wa kuwa mkaidi kwa walio muweka apo
as long as ana jihakikishia ulaji yuko tayari kubishia kitu chochote kile kilicho kichume na matakwa ya mabosi wake
 
Unauliza chooni kunani? Kuna kihiyo kama Lukuvi. Ushahidi ni kwamba alipotuhumiwa kughushi vyeti hakusema lolote zaidi ya kuminya na kuendelea kubangaiza.
Mh Lukuvi ni kihiyo? maana ameshindwa kutofautisha MTAALA "CURRICULUM" na MUKHUTASARI "SYLLABUS", mjengoni leo.
 
yasemekana kaishia darasa la KIPAPATIO (std 7) kwa mujibu wa KAINERUGABA MSEMAKWELI na kitabu chake cha "MAFISADI WA ELIMU"
 
mh lukuvi ni kihiyo? Maana ameshindwa kutofautisha mtaala "curriculum" na mukhutasari "syllabus", mjengoni leo.

hapana huyu sio kihiyo huyu ni mheshimiwa william vangimembe lukuvi mbunge wa jimbo la isimani wilaya ya iringa vijijini mkoani iringa ni kati ya wasomi waliojazwa ndani yao wa elimu ya masomo ya juu msingi kwa maskini na kupata cheti hicho na kwa wenzetu waingereza nadhani cheti hiki kingeitwa- { higher poorest primary intern education-hippie} kwahiyo kumlinganisha na kihiyo sio sahii kwani baada ya hukumu ile hajawahi gombea hata unyumba kumi mtaani kwake ila mshikaji bado anamatumaini kukwea juu zaidi.... Na kwa ccm anaweza pewa hata uwaziri mkuu usishangae pinda akipitishwa kugombea uraisi waziri mkuu ni lukuvi jina zuri nadhani labda tumwite kalulu yaani kaka lukuvi luminous[ anang'aa kwenye giza nene ikiwaka taa sijui itakuwaje]
 
Wewe unauliza makofi polisi?kwani ulikuwa hujui?
 
ndio viongozi wetu wa tanzania. The best in the incumbent government.
 
VANGIMEZA NI MWALIMU WA UPE.....ETI ANADAI ANA DILPLOMA YA RUSSIA!!! kila siku anatenga masaa mawili ya kukariri kanunu za bunge! ni swahiba wa FastJet(Dhaifu) a.k.a smart travel
 
Huna haja ya kuumiza kichwa wakati jibu unalo.
 
Mh Lukuvi ni kihiyo? maana ameshindwa kutofautisha MTAALA "CURRICULUM" na MUKHUTASARI "SYLLABUS", mjengoni leo.
Hawa watu wamebanwa vibaya. Kwenye hoja hiyohiyo ya Mbatia, awali Waziri Kawambwa aligoma kuleta nakala za mitaala bungeni kama alivyoahidi, lakini baadaye Lukuvi akageuka na kusema kuwa serikali ipo tayari kuleta hiyo mitaala... yaani ni vigumu kuielewa hii serikali
 
Back
Top Bottom