kama wangekuwa hao machangudoa wanajiuza nje ya bar au hawahusiani na bar yake hapo sawa lkn mpaka ndani ya bar unawakuta na ndio kijiwe chao.Hahahaa, Ahsante mkuu, Japokuwa sihitaji hiyo huduma,kumbuka hao wenye Mabaa wengi hawana hata Gest mkuu, Suala la kuwadhibiti Machangudoa ni gumu sana, Makamba alichemka vibaya Akiwa mkuu wa mkoa, je Mwenye bar Ana nguvu gani za kuwazuia? Huu ni uonevu wa wazi wazi. Machangu doa ni janga la Taifa ,hivyo mzigo huu wasibebeshwe wenye Mabaa.
wewe unashauri kipi kifanyike mkuu?? tusibaki kukosoa tuu nakuilaumu serikali kwa kila jambo?? kama hili suala la makaka poa na machangudoa ni tatizo tufanye nini?? ili kulitatua?Unadhani akifunga Corner bar na bar zingine kama hizo ndiyo utakuwa mwisho wa madada poa???
Au ni migongano ya kimaslahi tu??
Yaani mie natoka maeneo yale polisi wameshindwa kabisaa kila wakimatwa madada poa wanaludi tena. Sasa wamezifungia zile biashara za pale mji umetakata leo asubuh na usiku sijakutana na madada poa Good approach DC.Bar zilizo pembeni yake mbona hazijafungiwa'?
Unabwabwaja kama hao uliowataja hapo kwenye post yako.
Swissme
Waziri wa mambo ya ndani ni makini sana. Kaka kimya kwa malengoBar zilizo pembeni yake mbona hazijafungiwa'?
Unabwabwaja kama hao uliowataja hapo kwenye post yako.
Swissme
Sikuungi mkonoKwa suala la mawaziri na Makonda nakuunga mkono kwa Corner Bar acha wafungiwe na sio hao tu Waende Bar nyengine zinazofuga mashoga na machangudoa, Hapi ana umakini katika maamuzi yake,sorry kama ulikosa huduma mkuu.
wewe unashauri kipi kifanyike mkuu?? tusibaki kukosoa tuu nakuilaumu serikali kwa kila jambo?? kama hili suala la makaka poa na machangudoa ni tatizo tufanye nini?? ili kulitatua?
No way.Waziri wa mambo ya ndani ni makini sana. Kaka kimya kwa malengo
KupayukaWaziri wa mambo ya ndani ni makini sana. Kaka kimya kwa malengo
BoysYaani mie natoka maeneo yale polisi wameshindwa kabisaa kila wakimatwa madada poa wanaludi tena. Sasa wamezifungia zile biashara za pale mji umetakata leo asubuh na usiku sijakutana na madada poa Good approach DC.