Mkuu siku hizi UDSM imebaki jina tu.Hakuna chochote hapa UDSM. Imekuwa ni sehemu ya kuzalisha vilaza.Niko hapa kuna watu wanafanya masters lakini uwezo wao ni mdogo sana,si kwa kujieleza tu bali pia hata wa ku-implement mambo.Mpaka ma-lecturer kutoka nje wana shangaa kama mtu anafanya masters halafu haelewi chochote.
neno SKAGIT ni strait forwad,sioni kwa nini mtu ashindwe kusoma na kutamka strait badala yake anatamka SKA!sio vizuri na inaonekana proffesional za hawa watu ni za kutiliwa mashaka kama kweli wanafanya kazi waliyotumwa na watanzania kisawa sawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.