fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,073
Jamaa huyu amekuwa akitoa majibu ya kihuni bungeni kwa anavyodhani yeye na pia boss wake Pinda majibu hayo tabasaidia CCM kumbe ukweli ni yanaua chama.
Mtu wa haiba yake hakupaswa hata kuingia bungeni maana ni limbukeni kwa mtazamo wangu ambaye hana kifani. Ulimbikeni wake unatokana na kufikiri ana akili sana na hivyo kupotosha bunge, chama na serikali pia.
Tujiulize mara kadhaa ameamka bungeni na kusema serikali haitaji majina bado inafanya uchunguzi wa wauza unga, na sasa inafanya uchunguzi wa majangili wa wanyamapori.
Suala langu kwani wauza unga ni mtu mmoja au kikundi kimoja? kwani majangili ni mtu mmoja au kikundi kimoja? Kama jibu ni siyo basi Lukuvi ni bogus saana.
Kwani mzinzi mmoja hakamatwi au hatajwi mpaka wote wanaozini wajulikane harafu watajwe kwa pamoja? yaani majaji na mahakimu wala rushwa hawakamatwi mpaka wote wawe wamechunguzwa na kutangazwa kwa pamoja? kwani mwizi mmoja hakamatwi mpaka na wezi wengine wajulikane ndo wakamatwe kwa pamoja.
Lukuvi anadanganya bunge kila mara serikali haiwezi kutaja majina wakati bado uchunguzi unaendelea je hakuna mtu au kikundi cha wauza unga au majangili ambacho uchunguzi umekamilika??? kwanini hawa wasitajwe na kukamatwa??? kwa style hii serikali haitataja hata siku moja wauza unga wala majangili maana haiwezekani kuwapata wote kwa wakati mmoja eti ndo uwataje na waanze kushughulikiwa.
AIBU KWA LUKUVI na serikali yake, AIBU KUBWA KWA CCM. AIBU KUBWA KULIKO KWA RAIS wa nchi ambaye amempata hiyo dhamana.
TUNATAKA MTUTAJIE AMBAO UCHUNGUZI UMEKAMILIKA, vinginevyo mseme hakuna hata uchunguzi mmoja umekamilika ambayo ndo aibu yenyewe.
Nawasilisha
Mtu wa haiba yake hakupaswa hata kuingia bungeni maana ni limbukeni kwa mtazamo wangu ambaye hana kifani. Ulimbikeni wake unatokana na kufikiri ana akili sana na hivyo kupotosha bunge, chama na serikali pia.
Tujiulize mara kadhaa ameamka bungeni na kusema serikali haitaji majina bado inafanya uchunguzi wa wauza unga, na sasa inafanya uchunguzi wa majangili wa wanyamapori.
Suala langu kwani wauza unga ni mtu mmoja au kikundi kimoja? kwani majangili ni mtu mmoja au kikundi kimoja? Kama jibu ni siyo basi Lukuvi ni bogus saana.
Kwani mzinzi mmoja hakamatwi au hatajwi mpaka wote wanaozini wajulikane harafu watajwe kwa pamoja? yaani majaji na mahakimu wala rushwa hawakamatwi mpaka wote wawe wamechunguzwa na kutangazwa kwa pamoja? kwani mwizi mmoja hakamatwi mpaka na wezi wengine wajulikane ndo wakamatwe kwa pamoja.
Lukuvi anadanganya bunge kila mara serikali haiwezi kutaja majina wakati bado uchunguzi unaendelea je hakuna mtu au kikundi cha wauza unga au majangili ambacho uchunguzi umekamilika??? kwanini hawa wasitajwe na kukamatwa??? kwa style hii serikali haitataja hata siku moja wauza unga wala majangili maana haiwezekani kuwapata wote kwa wakati mmoja eti ndo uwataje na waanze kushughulikiwa.
AIBU KWA LUKUVI na serikali yake, AIBU KUBWA KWA CCM. AIBU KUBWA KULIKO KWA RAIS wa nchi ambaye amempata hiyo dhamana.
TUNATAKA MTUTAJIE AMBAO UCHUNGUZI UMEKAMILIKA, vinginevyo mseme hakuna hata uchunguzi mmoja umekamilika ambayo ndo aibu yenyewe.
Nawasilisha