Lukuvi amfagilia Mnyika

Lua

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
704
Reaction score
305
Leo katika kujadili Muswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba, Lukuvi ametumia muda mwingi kumsifia Mnyika na hadi kumpongeza mbowe kwa kumchagua Mnyika katika Timu iliyoundwa kwenda kwa Rais. Anasema kuwa huyo kijana ni makini na hata anapojenga hoja anajenga kiungwana na ni mkweli.

Hasa pale waliposhindwa kukubaliana kuhusu idadi makundi ya kijamii kuingia kwy bunge la katiba alisimamia msimamo wake na hadi sasa hapa bungeni bado anasimamia msimamo huo huo.
 
Vijana waliolelewa vema kama Mnyika wana misimamo imara kabisa, hoja yenye maslahi kwa Watanzania husimamiwa na wabunge makini kama Mhe.Mnyika siyo wale vilaza wengine wa yebo yebo wanaosema ndiyo kila kitu!
 

Acha kiherehere kamsifia Mnyika muda mwingi ndio muda gani
 
nikimwangalia lukuvi najickia kinyaa namna yeye na aliyekuwa padri wa migoli salvatory walivyomaliza tembo wa mbweleli,mwanyengo,makatapola bila kusahau ng'ambo ya bwawa kilambakitali kwani walitengeza mtumbwi mkubwa wa kuvusha watu kwa bei nafuu then usiku unavusha meno ya tembo na baada ya kuondoka padri salvatory mtumbwi ule alikabidhiwa dereva wa muda mrefu wa misheni anaitwa fransisco simba,lkn kwa juhud binafsi za lukuvi yule padri alirudi tena nchini na kufikia palokia ya idodi ambako ndio nyumbani kwao lukuvi.
 
Sio siri kama bunge hili chadema kingepata wabunge kumi tu wenye uwezo kama wa Mnyika tungekuwa tunazungumza lugha nyingine kuhusu 2015, ametulia sana, hana kashfa wala matusi si mbabe, na mara zote amekuwa mbali na makashfa ya ugomvi dhidi ya wenzake, mnyika anastahili pongezi kusema kweli
 
Unasifiwa alafu hakuna mabadiliko ndo nini
 
nionavyo mimi,Mnyika,Lissu,Zitto,kafulila na Mbowe ndiyo wabunge bora katika kujenga hoja,
 
hali iliyowashitua wengi, mnadhimu wa bunge mhe. Lukuvi leo ametumia zaidi ya dakika tatu akimusifia kijana machachali aliyewahi kuweka wazi kuwa rais wa nchi hii ni dhaifu na baada ya kutafakali kwa miezi nenda rudi lukuvi amegundua john john mnyika ni kijana makini na anampenda sana pia amempongeza Freeman Mbowe kwa kumteua kuja naye ikulu..

mods naomba msiunganishe na thread nyingine
 
Mnyika ni kijana hazina ya Taifa asirubuniwe na maccm tu.
 
kizuri chajiuza...
Malizia kibaya chajitembeza, na hiyo maana yake ni kuwa kizuri chajiuza ndiyo wabunge wa CDM,na kibaya chajitembeza ndiyo wabunge wa CCM!!
 
Dogo ni moto wa kifuu si unaweza kuona uwezo wake kwenye matokeo ya A level.
 
hawa wanajaza sever tu Moderator unganisha au futa kabisa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…