Lukuvi ageuka "lulu" Bungeni leo

Lukuvi ageuka "lulu" Bungeni leo

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,206
Reaction score
162,774
Leo tangu mchangiaji wa kwanza asubuhi na mpaka anaengoe jioni hii,mh.Lekule Laizer, mbunge wa Longido,wote wanamwagia sifa Lukuvi kwa wanachokiita utendaji wake mzuri katika kipindi cha miezi 6 alichokaa katika wizara ya ardhi.

Wabunge,karibu wote wa CCM,wanampigia campaign achaguliwe na rais ajae wanamshauri amrudishe katika wizara hiyo as if wana uhakika CCM itarudi madarakani!

Hata hivyo,mh. Halima Mdee anampa angalizo asibweteke kwani kazi aliyofanya ni ndogo ukilinganisha na matatizo yaliyopo katika wizara hiyo.
 
Hivi ni kweli Kigamboni hamna tena ile project?
 
na yey anatangaza lin nia? Maana kama vile mleta post unamtengenezea huyo mla bobi kukubalika hapa jf
 
Kazi ngani hizo nzuri alizofanya Mh. Lukuvi. Tunaombwa kujuzwa.

Lakini huyu si alishatangaza kuwa 2015 yeye ubunge basi tena.
 
Huyo lukuvi wamchunguze anamtindo wa kuhonga wabunge wizara zake zipite kilaini
Hata ubunge wake 2010 alihonga akapita bila kupigwa
Miezi sita amekaa hapo wizarani amefanya nini cha maana?
Mi naona ni siasa nyepesi tu anatuletea karne hiii
 
Nadhani amejitahidi kuwa transparent kuliko watangulizi wake.
 
na yey anatangaza lin nia? Maana kama vile mleta post unamtengenezea huyo mla bobi kukubalika hapa jf

Mkuu kama umeangalia Bunge mchana na jioni utakubaliana na mleta Hoja leo ilikua siku yake nzuri bwana Lukuvi.

ukiachana na Hotuba ya Halima mdee kuhusu kambi ya upinzani bungeni wachangiaji waliofuata wa upinzani na CCM wamempongeza Lukuvi kwa kazi aliyofanya ndani ya miezi 6 imeleta tija tofauti na waziri aliyemtangulia.
 
Ila kama Ndugulile wa Kigamboni sijamwelewa, ina maana wakazi wa Kigamboni wanaruhusiwa kuendeleza yale maeneo yao yaliyosemekana yako ndani ya mradi?
 
Mimi binafsi kupitia kwenye runinga nimemuona anajitahidi ila kwenye deliverables siwezi msemea maana sijui ... ila yule mama aliyekuwepo disappointed me utterly kwani nlikuwa na mategemeo sana na yeye kuwa angepunguza ugumu wa kupata hati za ardhi lakini sivyo ...
 
Kazi ngani hizo nzuri alizofanya Mh. Lukuvi. Tunaombwa kujuzwa.

Lakini huyu si alishatangaza kuwa 2015 yeye ubunge basi tena.

Labda kazi nzuri ni ile ya kuhusu ZNZ
 
Hivi ni kweli Kigamboni hamna tena ile project?

Mradi upo kwa kata 6 badala ya 9 na pia wenye huo mradi wapatane na wananchi juu ya fidia, serikali imesambaza wakala kuwa wananchi wasiondolewe oneo ambalo serikali imeamua kuliendeleza pasipo kulipwa fidia.
 
Mradi upo kwa kata 6 badala ya 9 na pia wenye huo mradi wapatane na wananchi juu ya fidia, serikali imesambaza wakala kuwa wananchi wasiondolewe oneo ambalo serikali imeamua kuliendeleza pasipo kulipwa fidia.

mkuu bila shaka hapo ulikuwa una maanisha waraka
 
Salary Slip

We are easily moved. Utampimaje mtu kwa utendaji wa miezi sita...Wakati maamuzi mengine aliyofanya yataleta matatizo katika kipindi kifupi kijacho!.
 
Last edited by a moderator:
hayo mazuri aliyofanya ni yepi? mbona mpaka sasa ardhi ya watanzania haijapimwa?
 
Mkuu kama umeangalia Bunge mchana na jioni utakubaliana na mleta Hoja leo ilikua siku yake nzuri bwana Lukuvi.
ukiachana na Hotuba ya Halima mdee kuhusu kambi ya upinzani bungeni wachangiaji waliofuata wa upinzani na CCM wamempongeza Lukuvi kwa kazi aliyofanya ndani ya miezi 6 imeleta tija tofauti na waziri aliyemtangulia.

Hiyo tija wametanabaisha kwa vielelezo gani??!!!
 
Salary Slip

Kwa kweli Lukuvi pamoja na kutokuwa msomi amekuwa akitumia common sense kutatua matatixo yaliyo dhahiri.

Pale amepita hata Profesa Nama Tibaijuka lakini ameiendesha wizara kiufisadi.
Siri ni kutokuwa na tamaa!
 
Last edited by a moderator:
Huduma mbalimbali za ardhi kama kupima viwanja, kubadili hati na nyingnezo nyingi zimeshuka kwa kiwango kikubwa kutokana na hotuba ya bajeti ya wizara iliyosomwa jana. Pia mh. Lukuvi katatua migogoro mingi sana ya ardhi ndani ya muda mfupi. Hivi haya yalimshinda prof. Tibaijuka? Au ndio yale tunayosema kua wasomi wanasiasa hawana mchango wowote kwenye jamii yetu?
 
Kuna wasomi wachache nchi hii ndio wenye kuelewa matatizo ya wananchi wao, baadhi yao ni Lowassa na Magufuli. Wengine kama Muhongo na maprofessor wenzake hakuna kitu, wanadhani kujua kile amesomea ndio kujua dunia. Wanasahau kuwa mtu kama Lissu ni zaidi yao kuhusu sheria eti.
 
maswitule kaka nakupinga kidogo, Lowassa hayupo kwenye list ya politician wasomi, ila prof Muhongo ni jembe because alifanya mengi alipokua waziri toka aondoke hayajaendelezwa tena.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom