Lukas Sankara ashinda kura za maoni Kalenga

Lukas Sankara ashinda kura za maoni Kalenga

ha ha ha ha ha nimecheka kwa sauti kuu mpaka vyumba vingine wamestuka.......
mtaangukia pua hamtaamini duh hata kalenga mnakwenda? yereuwiiiiiiiiiiiiii

Pipooooooooooz!
Huu ni mpango wa mungu.
 
Naona mmoja aliamua kutumia cv ya kutupwa sero kama viongozi wake.

Chadema wanaharibu sana vijana wetu, mtu afungwe kwa kosa la kuiba vitindi vya ulanzi halafu anatumia kama sifa kwenye kutafuta ubunge?
afadhari huyo aliyeiba vitindi vya ulanzi atakunywa na kwenda kulala kuliko aliyetafuna rambi rambi za mama mjane.
 
Wakati ukifika nitasimama nakugombea, suala la pesa halina uhusiano na kukubalika.

Mimi sio masikini kwa sababu nina miguu yote na miguu yote na sina ulemavu wowote.

Kila jambo ni wakati

Ulemavu wa viungo bali hata kudumaa kwa akili zako nao ni ulemavu.
 
IMG_1806.JPG
angalia walivyochoka hahaha maskini weeeeeh!!!
[QUOTE
IMG_1844.JPG
]
IMG_1844.JPG
[/QUOTE]
ha ha ha ha ha haaaaa wamechoka...njaa imewapiga nyuso zimekata tamaa aiseeh teh teh teh waone kwanza lol
 
Mwalimu amini usiamini Chadema kalenga wataangukia pua

ccm wana mgombea mbaya tena amelazimishwa na pia kama ulivyosikia kuna ufa ndani ya ccm yenyewe kutokana na baadho yao kuona kwamba alichaguliwa kutokana na kuwa mtoto wa marehemu na ni sisa chafu za kurithisishana madaraka kwani ktk kalenga nzima hakuna anayefaa kuongoza bali ni ukoo wa mgimwa peke yao ccm wamejiaribia
 
ccm wana mgombea mbaya tena amelazimishwa na pia kama ulivyosikia kuna ufa ndani ya ccm yenyewe kutokana na baadho yao kuona kwamba alichaguliwa kutokana na kuwa mtoto wa marehemu na ni sisa chafu za kurithisishana madaraka kwani ktk kalenga nzima hakuna anayefaa kuongoza bali ni ukoo wa mgimwa peke yao ccm wamejiaribia

teh teh angalia walivyochoka ndo wapiga kura hawa? ha ha ha
 
Sankara. Nafananisha jina na marehemu Captain Thomas Sankara rais wa nchi moja Afrika Magharibi.
 
Rais wa 5 wa Upper Volta sasa Burkina Faso.
Aliyepinduliwa na rais Compaure mwaka 1987 kwa kupigwa risasi.
Kijana mdogo miaka 36.
Kila laheri mh SANKARA ktk ulingo wa siasa unaacha field??
 
Back
Top Bottom